Level ni ya masters. PHD....baadae. Napenda economics in general, kama vile natural resource economics, its unfortunate sijawahi kusoma agriculture lakini napenda sana program ya agricultural economics.
Level ni ya masters. PHD....baadae. Napenda economics in general, kama vile natural resource economics, its unfortunate sijawahi kusoma agriculture lakini napenda sana program ya agricultural economics. For over 2 years I have been working in agriculture projects, climbing my ladder up to Project Manager so I would like to expand skills in agri-projects. If this ambition will bounce, I may look on programs related to Climate change, project management, sustainable development.
Australia/NZ ni nchi ambazo zinafuga sana, napenda sana mifugo. Yaan huwezi amin tangu sijaanza primary nilikuwa nasoma atlas na hizo nchi zilinivutia sana kama unakumbuka... Ufugaji wa kondoo...NZ (sijui kondoo wa merino- ambao hata sijapata kuwaona). But also USA I like it. Nilipenda sana program hii ya north carolina state university.
View attachment 459762