Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Ndege Alhamdulillah nimeanza kuzipanda tangu nikiwa sijazaliwa. Nikiwa mdogo likizo nakabidhiwa tu kwa wahudumu hapo safari Mwanza tu Dsm basi napokelea dsm na nikirudi Mwanza the same,kitu kilikua kinanichanganya utotoni ni kufungua ac hapo ilikua lazima niombe usaidizi.Sema kuna kitu nimekinotice hususani kwa ndege za ndani,unakuta muhudumu anaongea kiingereza na kifaransa sasa wanasahau si kila msafiri kasoma mtu anaweza shinda kuelewa maelekezo kwa lugha tu zinazotumika,ndege za ndani watumie na Kiswahili
 
[emoji23][emoji23]pole sana mkuu....sipati picha abiria wenzio wapo kwenye makoti wakikuangalia wew na kikaptura walikuwa wanakufikiriaje
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
sasa tukiwa huko tukalipwa posho kwa hela ya huko Central African Franc sasa nikazibana nije kubadilishia Bongo nafika bongo Bureau De Change zote hawabadilishi hizi pesa yaani nmepagawa sijui nikazitupe Coco maana....
[emoji23]Kata tiketi ukazibadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…