and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Ndege si kwa ajili ya wanyongebado cjawahi kupanda pipa sijui itakuweje ngoja nifatilie ushamba ntapata somo kidogo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege si kwa ajili ya wanyongebado cjawahi kupanda pipa sijui itakuweje ngoja nifatilie ushamba ntapata somo kidogo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku natoka Dubai naenda Mumbai. Kuingia kwenye ndege nasikia tangazo kuwa ndege inaelekea Bombay...weee bado nusu nianze kupiga mayowe wanishushe maana ndege ndo ilikua inaanza kuondoka. Kumbe Mumbai ndo hapo hapo Bombay.
@secrete ulienda Sydney ila haukuleta mrejesho.Kikotoo kama chote. Angalau tutapanda ndege sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we muongo aseeMimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Perfume huwa zinauma aseeMie mbona sitasahau,,,,,,,,,,
cku iyo nilijipodoa kama naenda harusini kufika airport parfume yng ikawekwa kwny dustibini niliumia sana.............
nilipoingia ndani sijui ni uoga nikaita air host aje kunifunga mkanda kasheshe wkt wa kushuka mkanda ukanishinda kufungua ikabidi jirani yng kk mmoja anisaidie..
Please weka link au unitag kwenye Huo uzi mkuudah ila huu uzi...ulinisaidia sana kupunguza stress za ajira aise...iikuwa nikiingia kwenye huu uzi nasahau shida zote za dunia...
huu uzi una pacha wake kwa vituko ni ule wa "vituko vya nyumba za kupanga" huu nao uliniongezea sana siku za kuishi aise[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu hapa mrembo...
Asante sana rafikiHuu hapa mrembo...
Aina 8 za wapangaji katika nyumba za kupanga - JamiiForums
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
sio huu,huo nnaokusudia nazani aliuanzisha MshanajrHuu hapa mrembo...
Aina 8 za wapangaji katika nyumba za kupanga - JamiiForums
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kuna ule tukio gani la aibu lililokukumba mbele za watu.dah ila huu uzi...ulinisaidia sana kupunguza stress za ajira aise...iikuwa nikiingia kwenye huu uzi nasahau shida zote za dunia...
huu uzi una pacha wake kwa vituko ni ule wa "vituko vya nyumba za kupanga" huu nao uliniongezea sana siku za kuishi aise[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhamiaji na wale wakaguzi kwenye scanner wana njaa ajabuHaha ungempa ya chai kazi ngumu
Cellebrity