and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Jipange mjomba. Starehe gharama! Achana na hadithi za wanyongeMm kiukweli Swissair ndo naizimikia haswaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipange mjomba. Starehe gharama! Achana na hadithi za wanyongeMm kiukweli Swissair ndo naizimikia haswaaa
Dah...Basi wewe si wa kawaida kabisaa[emoji41]Sijui kwanini nilichukulia kawaida saana
Dah.....ndani ya ndege iliyo angani ...abiria wengi humuamini Mungu...ikicheza kidogo tu..Mungu hutajwa sana...ukiwa una akili ya kufikiri mbali...kama si lazima ndege usipande....Ni ushauri tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ilipofika futi 30,000 juu ya usawa wa bahari,nikajaribu kuchungulia dirishani,kwakweli kwa ule umbali tuliokuwepo,nilijiuliza hivi kutoka Dar hadi Mwanza mbona mabasi ni mengi sana,huku ninachotafuta ni nini hasa...!
Qatar hamna Visa kwa Wabongo?Ndege raha. Twenzetu Qatar 2022 watanzania hatuhitaji viza tukaishaingilie timu yetu.
Ilipofika futi 30,000 juu ya usawa wa bahari,nikajaribu kuchungulia dirishani,kwakweli kwa ule umbali tuliokuwepo,nilijiuliza hivi kutoka Dar hadi Mwanza mbona mabasi ni mengi sana,huku ninachotafuta ni nini hasa...!
Hahahahaha, ni balaa, na hiyo ndege inaoneka haiendi mbali je akikaa ya kuanzia masaa 8 na hali ya hewa iwe na mushkeli kidogo si ataomba kulala koridoni!Ilikuwa kama hivi?
View attachment 1081427
Mtanzania huitaji VIZA kukuingia Qatar (CONFIRMED)Qatar hamna Visa kwa Wabongo?
Hahahaaaaaa hataribaada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"
2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje
3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.
4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.
5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"
Nimefurahi mnoo mkuu SI kwa kunichekesha huku dah!baada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"
2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje
3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.
4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.
5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"
hahahahaaDah! ndege ina speed jamani nilipanda AURIC AIR toka Njombe to Iringa ile naingia tu nasogea kwenye siti yangu ili nikae naambiwa "wa kushuka Iringa",nikadata nauliza wa kushuka Iringa mnamaanisha nini,yule kaka akasema tushafika Iringa,sikuonja hata siti ya ndege ikanibidi nishuke maana tuliisha fika Iringa,duh! ndege inakimbia jamani!
Ah ah ah ah. Ulihisi utaangukaIlipofika futi 30,000 juu ya usawa wa bahari,nikajaribu kuchungulia dirishani,kwakweli kwa ule umbali tuliokuwepo,nilijiuliza hivi kutoka Dar hadi Mwanza mbona mabasi ni mengi sana,huku ninachotafuta ni nini hasa...!