Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Umenikumbisha vile niliacha mafuta yangu hapo JNIA kisa yamezidi mils 100, tulikiwa kundi la watu kama 10, tulipita kila airport kulitokea kiroja.

Tukiwa bongo hapa haikuwa shida sana japo kubabaika kulikuwa kwingi,tumefika Dubai jamaa kapapaswa kadakwa na wembe mfukoni mambo hayakuwa magumu sana tukatoka japo tulipoteza muda.

Tumeingia Beijin jamaa yuleyule kadakwa na dawa ya meno Colgate kubwa,hapo ikawa shida tena....simu nyingi na maelezo karibia nusu saa hapo.

Tukatoka beijin kwenda jimbo moja na Kunming,hapo tena akadakwa na LUNDO LA NYEMBE...sijui alitaka izifanyie nini walahi hapo ndio wakamkalisha chini kabisa na tulikaa takribani saaa zima ndio jamaa akaachiliwa na tulikuwa tunaunganisha ndege kwenda wilaya ya Xuanbana_sina uhakika na spelling, sasa kule walimkagua hadi mapumbu,wakati wa kurudi hakukutokea tatizo.

mie niingia online nikasoma vitu vyote visivyoruhusiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole yake huyo mjuba. Next time atajipanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…