Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Dege la jeshi balaa halina mikanda wala viti, mtapanda na mbuzi, matairi, makorokoro kibao, sasa inapokaribia kutua lazima utazaa tu km ni mja mzito! linashuka ghafla fyuuu! kama mara tano hivi! na kushuka lazima ujiachie km unarushwa hivi na kudakwa! raia wanakomaje!

Lkn wajeda wao aaah!peace tu
 
Nimecheka sana aisee...yani unakuja na ndege unaenda kupanda daladala[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…