Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwanja wa kiboya Sana ule. nyomi muda wote, vyoo vichafu, hamna free WiFi.Aliye pita Addis Ababa Bole International Airport anipe ABC za pale.....natimba pale sometimes in September kuelekea Korea Kusini
Nimecheka sana aisee...yani unakuja na ndege unaenda kupanda daladala[emoji1787][emoji1787][emoji1787]baada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"
2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje
3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.
4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.
5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]day 1 nili enjoy sanaaaa yani sanaaaa
baada ya hapo safari zilizofata ni hofu tupu as ..sipendi wakati inapoanza kuruka na wakati wa kutua. Pia hali ya hewa ikiwa mbaya safar inakuwa hovyo.
kioja changu kilikuwa kwenye pasport jamani.. nilipata ile ya muda as ilikuwa ya karatasi huyo mbio stationary kuifanyia lamination eti isiharibike. Walahi kama sio yule binti wa stationery sijui huko airport ingekuwaje ..looo!
Aisee! Wewe unafaa kuwa mtabiri, ni kweli fastjet hazipo tena.Wabongo tuitumie fastjet. Maana Prof alimaliza muda wake ndo Basi tena.
Mwanaume kujisifia kuwa Ni mrembo. InafikirishaJimmy jimble timamu kweli wewe? Huenda Yule jemsi delishiasi ni mwanachama mwenzako ndo maana huishi kujisifia urembo ulionao.
Fastjet juu ya maweAisee! Wewe unafaa kuwa mtabiri, ni kweli fastjet hazipo tena.
Masha anasemaje kwani?Aisee! Wewe unafaa kuwa mtabiri, ni kweli fastjet hazipo tena.
Kaenda kutangaza Nia ya Ubunge labda akirud atatoa tamkoMasha anasemaje kwani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
sikujua hii fursa hata mie ningeendaNilishawahi kwenda na Kurudi South Africa kwa TZS 250,000/= Asante Fastjet
Upooo... Moja ya nyuzi zangu pendwa JF.Huu uzi unanichekeshaga, kumbe bado unaendeleaga tu!!
Hahahaa dah!Ilipofika futi 30,000 juu ya usawa wa bahari,nikajaribu kuchungulia dirishani,kwakweli kwa ule umbali tuliokuwepo,nilijiuliza hivi kutoka Dar hadi Mwanza mbona mabasi ni mengi sana,huku ninachotafuta ni nini hasa...!
Nipoooo, we nichore tu!!Upooo... Moja ya nyuzi zangu pendwa JF.
Ni umejaa vituko sijawahi kuona..