Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Ushamba mzigo .nilipanda ndege nikaumwa na mkojo nafika chooni sioni shimo aisee nilipagawa .nilisoma Kila kitu ndani Hadi nikaona kitufe Cha kubinya ndio daaah choo kinafunguka.
duh kweli ushamba ni mzigo kwangu..kwahiyo mavi yanabaki kwenye ndege au yanadondoka chini halafu yana peperushwa na upepo? Yani sielewi hata vyoo vya treni na meli vipoje, aise ushamba ni mzigo kweli...
 
duh kweli ushamba ni mzigo kwangu..kwahiyo mavi yanabaki kwenye ndege au yanadondoka chini halafu yana peperushwa na upepo? Yani sielewi hata vyoo vya treni na meli vipoje, aise ushamba ni mzigo kweli...
Kwenye ndege kuna tank la kuhifadhia uchafu(kinyesi) ndege ikitua huwa wanaenda kuumwaga.

Treni mara nyingi inapita porini unakunya kinadondoka chini. Na hairuhusiwi kutumia choo cha treni kama imesimama, kwenye meli sifahamu utaratibu ukoje
 
Back
Top Bottom