Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukijitathmini binafsi wewe ni HB kweli? au mrembo aliangalia pochi "pesa" yako maana nyie wauza ngada mlikuwa na ukwasi wa kutisha enzi hizo. ila awamu hii mtakosa hata nauli ya ABOOD (DAR - MORO) Chezea kemia wewe!mimi mara ya kwanza wakati naenda dubai na qatar aisee kuingia tu ndani mhudumu kama malaika yaani mremboo alafu akanambia u look good, akanisifia ua hb....wakat nashuka akanipa na namba yaani sikua na mchecheto wowote nilitulia kama namiliki ndege,two weeks later nikala mzigo wa yule mrembo hotelin yan nimezaa nae mpaka leo....dah ilikua safar murua i cant forget it
mi hb mkuu hata dadaako ukinipa huwez kujutia yaani,samahani lakiniukijitathmini binafsi wewe ni HB kweli? au mrembo aliangalia pochi "pesa" yako maana nyie wauza ngada mlikuwa na ukwasi wa kutisha enzi hizo. ila awamu hii mtakosa hata nauli ya ABOOD (DAR - MORO) Chezea kemia wewe!
kama ni HB tafuta mume uishi nae, hakuna haja ya kuhangaika mpaka Dubai huko. Wakati hapa bongo tumejaa wa kutosha.mi hb mkuu hata dadaako ukinipa huwez kujutia yaani,samahani lakini
Hongera sanamimi mara ya kwanza wakati naenda dubai na qatar aisee kuingia tu ndani mhudumu kama malaika yaani mremboo alafu akanambia u look good, akanisifia ua hb....wakat nashuka akanipa na namba yaani sikua na mchecheto wowote nilitulia kama namiliki ndege,two weeks later nikala mzigo wa yule mrembo hotelin yan nimezaa nae mpaka leo....dah ilikua safar murua i cant forget it
hb manake ni husband material big bank so usiogope mkuu nipe tu dadaako ntamshughulikia vizurikama ni HB tafuta mume uishi nae, hakuna haja ya kuhangaika mpaka Dubai huko. Wakati hapa bongo tumejaa wa kutosha.
mambo madogo hayo huwa nakaa first class tu sometimes nachukua private jets na lulu,shuu,mina candy na diva,hao ni mbwa wangu wale toy dogs unajua sipend kubanana so wanakaa siti zao.u know ningenunua my private jet but bongo watanipakzia nauza unga.nikiwa new york huwa naride mwenyewe my own helicopter mpaka kwa my apartments downtown kabsa nyHongera sana
jina tu unaitwa soft g spot alafu unaleta ukelele kama unakojoleshwa tulia weweJimmy jimble timamu kweli wewe? Huenda Yule jemsi delishiasi ni mwanachama mwenzako ndo maana huishi kujisifia urembo ulionao.
Inafikirisha mwanaume kujisifia sura/HB. Ipo haja ya kuwezekeza kwenye diapers.hb manake ni husband material big bank so usiogope mkuu nipe tu dadaako ntamshughulikia vizuri
Haaaa daah kweli viojamimi mara ya kwanza wakati naenda dubai na qatar aisee kuingia tu ndani mhudumu kama malaika yaani mremboo alafu akanambia u look good, akanisifia ua hb....wakat nashuka akanipa na namba yaani sikua na mchecheto wowote nilitulia kama namiliki ndege,two weeks later nikala mzigo wa yule mrembo hotelin yan nimezaa nae mpaka leo....dah ilikua safar murua i cant forget it
Mtoto yupo uliyezaa naemi hb mkuu hata dadaako ukinipa huwez kujutia yaani,samahani lakini
Mchele mcheleMtoto yupo uliyezaa nae