Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Corona bado iko.Aspirin amefanya yake tayari sio bure huu msiba umekuwa gafla sana na Corona oshaisha
Umeandika nini sasa?Mungu habagui, they kill when away so as to escape doubters, he celebrated the deaths of theirs now it's on his camp lets celebrate the man of 1953 November 9th demise, thank you Lord for his service to this great Nation. It's either now or he keeps torturing us for next 4 decades.
Watu wazuri hawafi hasa wa kambi yao.
Dada yangu, huwa unifurahisha sana.Tena hapo msibani waumbukizane vizuri.
Mi inanitoa mpaka vidonda kwenye puaCorona bado iko.
Kwani hakuchanjwa?Covid imerudi. Ukitaka kujua nenda muhimbili na Bugando.
Wakati huu wa baridi hao virusi wanacharuka sana kama vile walivyocharuka siku za nyuma na kuwaua viongozi wetu. Nashauri serikali iwahimize raia waanze kuvaa barakoa na kupunguza kukaa kwenye misongamano.Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Ndio Maprof wenu hao...nyagori bwana kituko sana..Prof kazingua !! Amejuaje kama ni virus wakati hamna sample imechukuliwa? Hii inaleta taharuki mwa madaktari na manesi waliyomhudumia na waombolezaji ! Je chanjo za covid 19 hakupata?
Huko siyo kurelax mkuu serikali yao imeamua kuwaachaniza wajue wenyewe.Kama Covid bado ipo serikali itahadharishe wananchi, tunapokwenda mahospitali tunakuta madaktari na manesi wamevaa barakoa sasa hili la.leo ndio linanipa mwanga kwamba wenzetu wa sekta ya fya bado wanajilinda ila wananchi wamerelax
Pole sana.Mi inanitoa mpaka vidonda kwenye pua
Itakuwa covid-23..nahisi ni Covid-19.
..ndio maradhi yanayoua ghafla / haraka.
Kayafa & coTena hapo msibani waumbukizane vizuri.