Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Wakati Wake Ilikuwa Hivi Hivi Baadaye Watu Wakapukutika Mpaka Taifa Likashangaa Kumetokea NiniKayafa & co
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Wake Ilikuwa Hivi Hivi Baadaye Watu Wakapukutika Mpaka Taifa Likashangaa Kumetokea NiniKayafa & co
Mwishoni mwa wiki iliyopita niliumwa mafua makali balaa, namshukuru Mungu jumatano nilipata nafuu kubwa, lkn kila mara chafya kali balaaNimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Siku za hapa katikati nimeona watu wakivaa barakoa kimyakimya sikuelewa kwaniniNimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Hata kabla ya kifo cha Jiwe, walianza kufa washkaj zake wa karibu akina Kijazi. Sijui nilitaka kusemaje kuhusu mstaafu mashuhuri?
Huyo mkianza tu kupanga mkakati mnaanza kuondoka ninyi.
1. BWM.Hata kabla ya kifo cha Jiwe, walianza kufa washkaj zake wa karibu akina Kijazi. Sijui nilitaka kusemaje kuhusu mstaafu mashuhuri?
Dhambi pia huja kwa hisia nyepesi za kibinaadamu.....Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
😄😂😁😆😅😂😁😆😅Tunatishana Sana Ndugu ZanguTanzania hamna corona
Bhalaa Kubwa Sana, Vigogo Wapukutika1. BWM.
2. Maalim Seif
3.John Kikazi.
4. Mfugale.
5. Waziri wa ulinzi Kwandikwa.
6. Mahiga.
7. Jpm.
...........
Dokta atuambie MAFUA ya kawaida ni nini na yakoje?!!!!Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Kwahiyo Pepo Lipo? AmaSiku za hapa katikati nimeona watu wakivaa barakoa kimyakimya sikuelewa kwanini
Kuna msiba usio wa ghafla?!!!Aspirin amefanya yake tayari sio bure huu msiba umekuwa gafla sana na Corona oshaisha
Kama vile hiki kifo kimekufurahisha sana. Nini Siri yake?Tena hapo msibani waumbukizane vizuri.
Hisia si sayansi....madaktari waliomhudumia ndio wanaojua UHALISIA......nahisi ni Covid-19.
..ndio maradhi yanayoua ghafla / haraka.
Ujinga tu unamsumbua....Kama vile hiki kifo kimekufurahisha sana. Nini Siri yake?
Dhambi za mawazo....Bhalaa Kubwa Sana, Vigogo Wapukutika
Nimeangalia takwimu zilizoongoza Kwa vifo ni malaria na phenomeniaNdugu, corona bado ipo na chanjo bado inatolewa. Haya mafua bado ni hatari. Ukiona tu wanakwambia pneumonia.....