Virusi vipya ambavyo vinaweza kusababisha mlipuko duniani vyagunduliwa China

Virusi vipya ambavyo vinaweza kusababisha mlipuko duniani vyagunduliwa China

Sasa tumechoka na virus vyao safari hii vikisambaa watulipe, watakuwa wanafanya makusudi hao na tumacho kwao kama wanasinzia
 
Kufanya yote hayo hakumhalalishii anaye yafanya kua yupo sahihi

Mnakwamia wapi ?!
Nilikuwa na maanisha dhambi ni dhambi haijalishi inaukubwa gani. Anaekula nguruwe na anaye zini ama kula sungura wote wametenda dhambi na kujinajisi,
 
Imesemaje ?!
Kasome Surah Al-Maidah 5:3-5
Al-Maidah ( The Table spread with Food ) ... ( 3 ). Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, ... Kwa hivyo tukaweka kati yao uadui na chuki mpaka Siku ya .......
 
Sasa mchina atuache tupumue, CORONA hatujaimaliza, anatuletea mafua mengineyo...aisee huu ni uuaji wa makusudi!

Everyday is Saturday.......................... 😎
 
Covid-19 ililalamikiwa sana na comrade Trump kuwa China inafaham vizuri kuhusu ugonjwa huo ikishirikiana na shirika la Afya Duniani WHO, kuwa ilikuwaje wakashindwa kutoa hadhari mapema ili nchi nyingine ziweze kuchukua hatua.
....
... hiyo takataka "comrade" haipo kwenye misamiati ya wastaarabu; ni mimaneno ya kijamaa na kikomunisti kutukuza madikteta wao. Ondoa huo uchafu tafadhali.
 
sijui itakuaje kama ikilipuka baada ya JPM kustaafu maana ndio mtu pekee Tz mwenye uwezo wa kuvipiga biti virus na vikamsikia
 
Jioni nusu kitimoti cha kuchoma,ndiz 3,kachumbari na Bapa zitahusika.

Kitimoto ni Maisha.
 
Imesemaje ?!Al-Maidah ( The Table spread with Food ) ... ( 3 ). Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, ... Kwa hivyo tukaweka kati yao uadui na chuki mpaka Siku ya .......

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Boss Boss malizia mpaka chini bana, mmeambiwa kama kuna mtu akisikia njaa kali bas anaweza kula kilichoharamishwaa
 
Hilo litaishia huko kwao nadhani ni nguruwe wa huko kwao hawa wa kwetu wanaokula soksi na vyupi sidhani kama wanao.
My take :
Hii habari ni nzuri sana kwa faiza foxy
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Binadam hamuishi wivu usio na maana.
We umeona haram piga kimya, ile kitu hujawai ionja wewe.[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom