Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa na maanisha dhambi ni dhambi haijalishi inaukubwa gani. Anaekula nguruwe na anaye zini ama kula sungura wote wametenda dhambi na kujinajisi,Kufanya yote hayo hakumhalalishii anaye yafanya kua yupo sahihi
Mnakwamia wapi ?!
Hapa nimekuelewa.....Nilikuwa na maanisha dhambi ni dhambi haijalishi inaukubwa gani. Anaekula nguruwe na anaye zini ama kula sungura wote wametenda dhambi na kujinajisi,
Al-Maidah ( The Table spread with Food ) ... ( 3 ). Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, ... Kwa hivyo tukaweka kati yao uadui na chuki mpaka Siku ya .......Kasome Surah Al-Maidah 5:3-5
Haram kwako,Halal kwangu.Haram ni haram tu mpaka dunia itakapoisha.
Haram kwako,Halal kwangu.
... hiyo takataka "comrade" haipo kwenye misamiati ya wastaarabu; ni mimaneno ya kijamaa na kikomunisti kutukuza madikteta wao. Ondoa huo uchafu tafadhali.Covid-19 ililalamikiwa sana na comrade Trump kuwa China inafaham vizuri kuhusu ugonjwa huo ikishirikiana na shirika la Afya Duniani WHO, kuwa ilikuwaje wakashindwa kutoa hadhari mapema ili nchi nyingine ziweze kuchukua hatua.
....
Imesemaje ?!Al-Maidah ( The Table spread with Food ) ... ( 3 ). Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, ... Kwa hivyo tukaweka kati yao uadui na chuki mpaka Siku ya .......
Na kwanini mpaka uweke coca cola?Ukitaka kujua kama ngurue ni haram chukua kipande cha nyama yake ingiza kwenye chombo, ingiza Coca-Cola thn iache kama daika 45, utakachokikuta humo huzoweza kumla tena huyo mdudu
Na kwanini mpaka uweke coca cola?
Unataka kugundua nini
...🙄🙄🙄...?sijui itakuaje kama ikilipuka baada ya JPM kustaafu maana ndio mtu pekee Tz mwenye uwezo wa kuvipiga biti virus na vikamsikia
test mkuu hutajutiaHili dude linaliwa mbona mbaya hivi😀
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Binadam hamuishi wivu usio na maana.
We umeona haram piga kimya, ile kitu hujawai ionja wewe.[emoji3][emoji3][emoji3]