Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Kwa hii part III Nashauri upewe nishani ya ubrigedia kabsa ukaliwakilishe taifa afghanstan
 
Kulikuwa Kuna ule uzi wa jamaa alienda kwa binamu take aliye olewa na mganga,akawa msaidizi wa mganga...
uliendelea, siuoni. Kama una link naomba tafadhari
 
Mkuu huyo mamba aliekumeza nae alikua kwenye mambo za kumeza watu kimasikhara[emoji23][emoji23]
 
Hivi mkuu Chizi Maarifa mkasa huu ulikutokea kabla ya ule wa wewe kugombea demu na jini au??

Maana kwenye ule uzi ulisema we umekulia sinza na maisha yako yalikuwa mazuri tu na ulikuwa unapush....
Hapa umekulia huko vijijini au mi ndio ambae sielewi vizuri???
 
Uta-spoil kila kitu mkuu, sisi wa uchumi wa kati humu ndo tunasogezea siku,, iwe fiction or ukweli.
 
Story inayofanana na hii kuna mahali nimewahi kuisoma, sehemu kubwa matukio yanafana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…