Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Kweli tunatofautiana, kwangu sharti gumu apo kutodindisha apo kwa kweli bora niukose huo utajiri.
Taa mkuu hapa duniani tunatofautiana kila MTU ana lengo gani.
Nimeshatafuna kila aina ya k ila sijaonaga faida mkuu. Yaani huwa nasemaga nikimpata huyu BASI nitakuwa nitakuwa je ila mkuu nikshakula hakuna kitu Nakuona mie ni yule yule Wa Jana na hata Leo.
Yaani kiufupi sijawahi pataga faida yake
 
PART III

Tulitembea hivi kwa muda mrefu mpaka tulipofika sehemu moja ghafla tukamulikwa na mwanga mkali sana usoni. Mbele na nyuma yetu walisimama watu kama 7-10 wakiwa wameshika silaha mbalimbali. Wakitusemesha kwa lugha ambayo hatukuwa tunafahamu.

Abdul alikuwa wa kwanza kupiga magoti na kunyoosha mikono juu. Ahmed alinyoosha mkono mmoja mwingine ameshikilia mfuko wake.

Mimi nlinyoosha mikono yote na kupiga magoti.jamaa walikuja wakatufunika usoni na vitambaa vichafu maana vilikuwa na harufu wakaturushia kwenye gari na kuondoka nasi.

Hatukujua tunaenda wapi but ulikuwa mwendo kama wa nusu saa hivi kwa gari mwishoni tukashushwa na kuongozwa huku tukiwa tuna vitambaa usoni mikono imefungwa nyuma.

Tukapelekwa kama kwenye chumba hivi kukandamizwa mabegani kutuelekeza tukae. Tulikaa tukiwa hatujui ni wapi tupo na kwa nini tumekamatwa.

Wale jamaa walikuwa wakiongea lugha ambayo mimi siifahamu lakini nlihisi ni lugha mojawapo ya kikongo.

Baadhi ya maneno machache yalikuwa kama yanaeleweka sikuwa mzuri sana kwenye lugha ya kwetu sababu udogoni nlilelewa na padre toka darasa la 1 mpaka la 7 mpaka alipokuja hamishwa yule padre ndo nikarudi home. Ni padre ambaye alinipenda sana na alikuwa anaamini mimi nina akili sana.

Lakini ilitosha kuelewa kuwa walikuwa wanabishana jambo. Ahmed alikuwa na ujasiri akasema anaomba maji ya kunywa kwa kiswahili.wale jamaa wakanyamaza.wakakaa kama sekunde kadhaa halafu wakaoitana nje.

Wakarudi na bwana mmoja ambaye alikuwa anaweza ongea kiswahili kibovu.akatuuliza sisi ni akina nani. Tukataja majina yetu.

Wakatutandika sana kwa viboko.muda wote huo hatuoni.mikono imefungwa nyuma.wakatuuliza tena "nyinyi ni nani?" Tukajibu majina yetu wakatutandika viboko mgongoni.

Wakatuchukua na kutupeleka nje. Kipindi hicho kulikuwa na baridi kiasi wakatuweka tupige magoti kwenye kuni.

Miguu iliuma sana kisha wakawa wanatumwagia maji halafu wanapiga kiboko.unapatwa na maumivu na ganzi.yale maji yalikuwa yamewekwa chumvi kali sana.

Tulikuwa tunawashwa ila hatuwezi jikuna.muda huo tunalia tu.

Wakaturudisha tena kwenye chumba. Tukakaa mpaka kukauka.wakatumwagia upupu mgongoni na kwenye makalio.

Tuliteseka sana. Maana hatukuweza jikuna sababu mikono imefungwa.tukaanza kugara gara chini tukijikuna walati huo huo tukutonesha vidonda vibichi vya viboko.

Usiku ule hatukulala.tulikuwa uchi kabisa nguo zetu wameziweka pembeni.

Tulikuwa tunasubiri watuambie hatima ya mfuko wa Ahmed maana kumbuka ulikuwa wa ngozi pia una kitu ndani. Hawakusema lolote.

Mimi nlizimia. Sijui wenzangu. Nlikuja shtuka nimemwagiwa maji saa 12-2 asubuh. Tumelazwa kwenye kuni.tukatolewa vitambaa usoni.mbele yetu alikuwa bwana mmoja mweusi mwenye macho mekundu sana.

Akatutaka tujieleze alizungumza kiswahili kibovu.ila tulimwelewa.tukamweleza kuwa ni watanzania na tumetoka kwa mganga kupata dawa ya utajili.

Jamaa alicheka sana...akasema tunafikiri yeye "mujinga" dawa gani huko ipo? Tukamweleza akasema tukae halafu tuje mwambia tena sisi ni akina nani.

Hakutuamini. Wakafungua mfuko wa ahmed wakaona tu shati yake na kaptula.wakawa wanaushangaa mkoba wa ngozi.

Wakatuchukua na kutupeleka kwenye jiwe kutuanika. Tulikaa juani jua kali sana tukiumia kwa lile jua na vidonda.inzi wakitusumbua sana na wakati mwingine wanakuja ndege kama kunguru wanataka kutudonoa.tulishalia mpaka sauti zikawa hazitoki.

Abdul alikuwa anakoroma tu.midomo imekauka mimi machozi hayatoki nimeshikwa na kiu sana.

Mpaka mchana kama saa saba au nane hivi alikuja. Bwana ammoja akatuangalia then akaita wenzie wakaja tuchukua wakituburuza kwenda tena room.tulikuwa tumechoka na tumeumia mpaka miili imekufa ganzi.

Wale jamaa walikuja mbele yetu na sinia wameweka paja la mtoto mdogo limechemshwa. Wakitaka tule.sikuamini nikidhani ni vitisho.wote tuligoma.wakatuachia hapo wakaondoka.jioni wakarudi wakakuta hatujala. Wakaondoka.

Njaa,kiu, maumivu vilikuwa vimetushika sana. Usiku ukafika. Tukiwa kwenye maumivu makali.mara tunasikia nao wana piga kelele wakiiimba na kutiana mori.

Ikafika asubuhi tumedhoofu ile nyama ipo bado kwenye sinia.hatukula.

Mchana wakatukuta tumelala hata kukaa hatuwezi tena. Akaja mtu mmoja kama mzee hivi akawa anatuangalia huku tumejilalia very weak.

Akamchukua Abdul akaondoka naye.ukapita muda mle ndani hatuelewi wameenda mfanya nini abdul.akarudi analia sana kidole kimoja mkono wa kushoto kimepondwa kimekuwa kama nyama tu inaning'inia.analia sauti imekauka. Wakaja nikamata na mimi nilizimia.

Nlikuja shtuka wote tumekaa kwenye majani halafu kuna yule mzee anaongea na Ahmed kwa kiswahili kibovu. Ahmed akasimulia tena sababu ya sisi kuwa kule.wakaondoka wakatuacha mle ndani na walinzi.

Baada ya kama saa zima hivi wakaja tena na wengine.wakatuchukua na kutupakiza kwenye gari. Wakatufunika machoni. Abdul walimwagia unga wa njano kile kidonda wakamfunga na matambala.tukatembea nao mwendo mrefu sana mpaka kuja fika karibu na ziwa...nlianza sikia harufu ya ziwa.nikahisi wanaenda kututupa ziwani. Hofu ilinijaa sana.

Baadaye wakatushusha na kutufungua kamba.wakatupa nguo zetu. Haraka sana Ahmed akakamata mfuko wake na kuchungulia ndani. Tukamwona akitabasamu. Hatukumwelewa.mimi nlimuuliza unatabasamu nini katika hali hii.akacheka akasema tushukuru tu tumepona.

Tulikaa pale pembezon ya ziwa tukanywa maji na kuanza hangaika tutakula nini.siku 2 hatujala.

Tukaanza tembea kwa maumivu sana pembezon mwa mto kutafuta wenyeji. Tulitembea sana mpaka kuja kuta kijiji kimoja ambacho wenyeji walitukaribisha.nakunbuka alikuwa mzee mmoja na mke wake na watoto watatu.mzee alifahamu kiswahili kidogo ila mtoto wake alikuwa anakielewa.tukawaelezea.wakasema tusiingie ndani mwao. Watatuandalia sehemu nje tule then tusubiri wavuvi wakitoka watatupeleka sehemu ambayo tutapata mitumbwi ya kwenda kigoma.

Tulikula tukalala huku mimi nikiota ndoto mbaya sana. Mama alikuwa anaumwa sana lakini alikuwa ananililia mimi nikiwa nimesimama pembeni yake.

Nlishtuka nikipiga kelele na kuanza kukimbia kuelekea ziwani.wenzangu walishtuka sana...kunikimbiza hawawezi walikuwa dhaifu.kijana mmoja wa yule mzee alinikimbiza akanipiga mtama.nilianguka akanikalia juu.nlikuwa kama chizi.

Wanasema wenzangu kuwa nlikuwa napiga kelelel kuwa mama anisamehe. Yule mzee alikuja akanipaka mafuta kichwani na mengine akaninywesha.akanishika masikio akawa akiongea maneno yake flani.nikapoa.

Jioni saa 12 wakaja wavuvi.yule mzee akawaelekeza. Tukapanda kwenye mitumbwi na kuanza kuondoka. Mfukoni hatukuwa na kitu. Yule mzee kule porini tulimwachia pesa kila mtu 2000 akasema hiyo inatosha. Wale waasi walikagua na kuchukua kila kitu mifukoni.

Kwenye ile mitumbwi tulibebwa hatuna kitu.yule mzee alituombea na kusema wale jamaa wangetufaulisha kwa wavuvi wa Kigoma humo Ziwani.

Tulitembea usiku wavuvi wakivua na kutega nyavu zao. Wakaenda mpaka sehemu moja wanasema kuna kinu.ni jiwe kubwa sana.wakasema tusubiri hapo. kama baada ya masaa matatu ukatokea mtumbwi mwingine wakaongea nao na kutuambia tuhamie humo.

Tukiwa mle kwenye mtumbwi ahmed na mkoba wake tu kwapani hauachi mvuvi mmoja akamtizama na kumuuliza "utayaweza masharti yake? Hatukumwelewa.

Wakatupa ugali na dagaa tukala tukajilaza.mwili ulikuwa umechoka, unauma, akili haipo sawa. Nikiwaza matukio yote sielewi hasa nini kilikuwa kinatokea. Wakati flani hudhani it was a dream. Lakini haikuwa ndoto.

Nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua wenzangu walipatwa na nini kule ndani ya mti. Tulifika Kigoma....

Itaendelea.....
 
PART III

Tulitembea hivi kwa muda mrefu mpaka tulipofika sehemu moja ghafla tukamulikwa na mwanga mkali sana usoni. Mbele na nyuma yetu walisimama watu kama 7-10 wakiwa wameshika silaha mbalimbali. Wakitusemesha kwa lugha ambayo hatukuwa tunafahamu.

Abdul alikuwa wa kwanza kupiga magoti na kunyoosha mikono juu. Ahmed alinyoosha mkono mmoja mwingine ameshikilia mfuko wake.

Mimi nlinyoosha mikono yote na kupiga magoti.jamaa walikuja wakatufunika usoni na vitambaa vichafu maana vilikuwa na harufu wakaturushia kwenye gari na kuondoka nasi.

Hatukujua tunaenda wapi but ulikuwa mwendo kama wa nusu saa hivi kwa gari mwishoni tukashushwa na kuongozwa huku tukiwa tuna vitambaa usoni mikono imefungwa nyuma.

Tukapelekwa kama kwenye chumba hivi kukandamizwa mabegani kutuelekeza tukae. Tulikaa tukiwa hatujui ni wapi tupo na kwa nini tumekamatwa.

Wale jamaa walikuwa wakiongea lugha ambayo mimi siifahamu lakini nlihisi ni lugha mojawapo ya kikongo.

Baadhi ya maneno machache yalikuwa kama yanaeleweka sikuwa mzuri sana kwenye lugha ya kwetu sababu udogoni nlilelewa na padre toka darasa la 1 mpaka la 7 mpaka alipokuja hamishwa yule padre ndo nikarudi home. Ni padre ambaye alinipenda sana na alikuwa anaamini mimi nina akili sana.

Lakini ilitosha kuelewa kuwa walikuwa wanabishana jambo. Ahmed alikuwa na ujasiri akasema anaomba maji ya kunywa kwa kiswahili.wale jamaa wakanyamaza.wakakaa kama sekunde kadhaa halafu wakaoitana nje.

Wakarudi na bwana mmoja ambaye alikuwa anaweza ongea kiswahili kibovu.akatuuliza sisi ni akina nani. Tukataja majina yetu.

Wakatutandika sana kwa viboko.muda wote huo hatuoni.mikono imefungwa nyuma.wakatuuliza tena "nyinyi ni nani?" Tukajibu majina yetu wakatutandika viboko mgongoni.

Wakatuchukua na kutupeleka nje. Kipindi hicho kulikuwa na baridi kiasi wakatuweka tupige magoti kwenye kuni.

Miguu iliuma sana kisha wakawa wanatumwagia maji halafu wanapiga kiboko.unapatwa na maumivu na ganzi.yale maji yalikuwa yamewekwa chumvi kali sana.

Tulikuwa tunawashwa ila hatuwezi jikuna.muda huo tunalia tu.

Wakaturudisha tena kwenye chumba. Tukakaa mpaka kukauka.wakatumwagia upupu mgongoni na kwenye makalio.

Tuliteseka sana. Maana hatukuweza jikuna sababu mikono imefungwa.tukaanza kugara gara chini tukijikuna walati huo huo tukutonesha vidonda vibichi vya viboko.

Usiku ule hatukulala.tulikuwa uchi kabisa nguo zetu wameziweka pembeni.

Tulikuwa tunasubiri watuambie hatima ya mfuko wa Ahmed maana kumbuka ulikuwa wa ngozi pia una kitu ndani. Hawakusema lolote.

Mimi nlizimia. Sijui wenzangu. Nlikuja shtuka nimemwagiwa maji saa 12-2 asubuh. Tumelazwa kwenye kuni.tukatolewa vitambaa usoni.mbele yetu alikuwa bwana mmoja mweusi mwenye macho mekundu sana.

Akatutaka tujieleze alizungumza kiswahili kibovu.ila tulimwelewa.tukamweleza kuwa ni watanzania na tumetoka kwa mganga kupata dawa ya utajili.

Jamaa alicheka sana...akasema tunafikiri yeye "mujinga" dawa gani huko ipo? Tukamweleza akasema tukae halafu tuje mwambia tena sisi ni akina nani.

Hakutuamini. Wakafungua mfuko wa ahmed wakaona tu shati yake na kaptula.wakawa wanaushangaa mkoba wa ngozi.

Wakatuchukua na kutupeleka kwenye jiwe kutuanika. Tulikaa juani jua kali sana tukiumia kwa lile jua na vidonda.inzi wakitusumbua sana na wakati mwingine wanakuja ndege kama kunguru wanataka kutudonoa.tulishalia mpaka sauti zikawa hazitoki.

Abdul alikuwa anakoroma tu.midomo imekauka mimi machozi hayatoki nimeshikwa na kiu sana.

Mpaka mchana kama saa saba au nane hivi alikuja. Bwana ammoja akatuangalia then akaita wenzie wakaja tuchukua wakituburuza kwenda tena room.tulikuwa tumechoka na tumeumia mpaka miili imekufa ganzi.

Wale jamaa walikuja mbele yetu na sinia wameweka paja la mtoto mdogo limechemshwa. Wakitaka tule.sikuamini nikidhani ni vitisho.wote tuligoma.wakatuachia hapo wakaondoka.jioni wakarudi wakakuta hatujala. Wakaondoka.

Njaa,kiu, maumivu vilikuwa vimetushika sana. Usiku ukafika. Tukiwa kwenye maumivu makali.mara tunasikia nao wana piga kelele wakiiimba na kutiana mori.

Ikafika asubuhi tumedhoofu ile nyama ipo bado kwenye sinia.hatukula.

Mchana wakatukuta tumelala hata kukaa hatuwezi tena. Akaja mtu mmoja kama mzee hivi akawa anatuangalia huku tumejilalia very weak.

Akamchukua Abdul akaondoka naye.ukapita muda mle ndani hatuelewi wameenda mfanya nini abdul.akarudi analia sana kidole kimoja mkono wa kushoto kimepondwa kimekuwa kama nyama tu inaning'inia.analia sauti imekauka. Wakaja nikamata na mimi nilizimia.

Nlikuja shtuka wote tumekaa kwenye majani halafu kuna yule mzee anaongea na Ahmed kwa kiswahili kibovu. Ahmed akasimulia tena sababu ya sisi kuwa kule.wakaondoka wakatuacha mle ndani na walinzi.

Baada ya kama saa zima hivi wakaja tena na wengine.wakatuchukua na kutupakiza kwenye gari. Wakatufunika machoni. Abdul walimwagia unga wa njano kile kidonda wakamfunga na matambala.tukatembea nao mwendo mrefu sana mpaka kuja fika karibu na ziwa...nlianza sikia harufu ya ziwa.nikahisi wanaenda kututupa ziwani. Hofu ilinijaa sana.

Baadaye wakatushusha na kutufungua kamba.wakatupa nguo zetu. Haraka sana Ahmed akakamata mfuko wake na kuchungulia ndani. Tukamwona akitabasamu. Hatukumwelewa.mimi nlimuuliza unatabasamu nini katika hali hii.akacheka akasema tushukuru tu tumepona.

Tulikaa pale pembezon ya ziwa tukanywa maji na kuanza hangaika tutakula nini.siku 2 hatujala.

Tukaanza tembea kwa maumivu sana pembezon mwa mto kutafuta wenyeji. Tulitembea sana mpaka kuja kuta kijiji kimoja ambacho wenyeji walitukaribisha.nakunbuka alikuwa mzee mmoja na mke wake na watoto watatu.mzee alifahamu kiswahili kidogo ila mtoto wake alikuwa anakielewa.tukawaelezea.wakasema tusiingie ndani mwao. Watatuandalia sehemu nje tule then tusubiri wavuvi wakitoka watatupeleka sehemu ambayo tutapata mitumbwi ya kwenda kigoma.

Tulikula tukalala huku mimi nikiota ndoto mbaya sana. Mama alikuwa anaumwa sana lakini alikuwa ananililia mimi nikiwa nimesimama pembeni yake.

Nlishtuka nikipiga kelele na kuanza kukimbia kuelekea ziwani.wenzangu walishtuka sana...kunikimbiza hawawezi walikuwa dhaifu.kijana mmoja wa yule mzee alinikimbiza akanipiga mtama.nilianguka akanikalia juu.nlikuwa kama chizi.

Wanasema wenzangu kuwa nlikuwa napiga kelelel kuwa mama anisamehe. Yule mzee alikuja akanipaka mafuta kichwani na mengine akaninywesha.akanishika masikio akawa akiongea maneno yake flani.nikapoa.

Jioni saa 12 wakaja wavuvi.yule mzee akawaelekeza. Tukapanda kwenye mitumbwi na kuanza kuondoka. Mfukoni hatukuwa na kitu. Yule mzee kule porini tulimwachia pesa kila mtu 2000 akasema hiyo inatosha. Wale waasi walikagua na kuchukua kila kitu mifukoni.

Kwenye ile mitumbwi tulibebwa hatuna kitu.yule mzee alituombea na kusema wale jamaa wangetufaulisha kwa wavuvi wa Kigoma humo Ziwani.

Tulitembea usiku wavuvi wakivua na kutega nyavu zao. Wakaenda mpaka sehemu moja wanasema kuna kinu.ni jiwe kubwa sana.wakasema tusubiri hapo. kama baada ya masaa matatu ukatokea mtumbwi mwingine wakaongea nao na kutuambia tuhamie humo.

Tukiwa mle kwenye mtumbwi ahmed na mkoba wake tu kwapani hauachi mvuvi mmoja akamtizama na kumuuliza "utayaweza masharti yake? Hatukumwelewa.

Wakatupa ugali na dagaa tukala tukajilaza.mwili ulikuwa umechoka, unauma, akili haipo sawa. Nikiwaza matukio yote sielewi hasa nini kilikuwa kinatokea. Wakati flani hudhani it was a dream. Lakini haikuwa ndoto.

Nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua wenzangu walipatwa na nini kule ndani ya mti. Tulifika Kigoma....

Itaendelea.....
daaaaah mkuu pole sana umepitia mambo mazito
 
PART III

Tulitembea hivi kwa muda mrefu mpaka tulipofika sehemu moja ghafla tukamulikwa na mwanga mkali sana usoni. Mbele na nyuma yetu walisimama watu kama 7-10 wakiwa wameshika silaha mbalimbali. Wakitusemesha kwa lugha ambayo hatukuwa tunafahamu.

Abdul alikuwa wa kwanza kupiga magoti na kunyoosha mikono juu. Ahmed alinyoosha mkono mmoja mwingine ameshikilia mfuko wake.

Mimi nlinyoosha mikono yote na kupiga magoti.jamaa walikuja wakatufunika usoni na vitambaa vichafu maana vilikuwa na harufu wakaturushia kwenye gari na kuondoka nasi.

Hatukujua tunaenda wapi but ulikuwa mwendo kama wa nusu saa hivi kwa gari mwishoni tukashushwa na kuongozwa huku tukiwa tuna vitambaa usoni mikono imefungwa nyuma.

Tukapelekwa kama kwenye chumba hivi kukandamizwa mabegani kutuelekeza tukae. Tulikaa tukiwa hatujui ni wapi tupo na kwa nini tumekamatwa.

Wale jamaa walikuwa wakiongea lugha ambayo mimi siifahamu lakini nlihisi ni lugha mojawapo ya kikongo.

Baadhi ya maneno machache yalikuwa kama yanaeleweka sikuwa mzuri sana kwenye lugha ya kwetu sababu udogoni nlilelewa na padre toka darasa la 1 mpaka la 7 mpaka alipokuja hamishwa yule padre ndo nikarudi home. Ni padre ambaye alinipenda sana na alikuwa anaamini mimi nina akili sana.

Lakini ilitosha kuelewa kuwa walikuwa wanabishana jambo. Ahmed alikuwa na ujasiri akasema anaomba maji ya kunywa kwa kiswahili.wale jamaa wakanyamaza.wakakaa kama sekunde kadhaa halafu wakaoitana nje.

Wakarudi na bwana mmoja ambaye alikuwa anaweza ongea kiswahili kibovu.akatuuliza sisi ni akina nani. Tukataja majina yetu.

Wakatutandika sana kwa viboko.muda wote huo hatuoni.mikono imefungwa nyuma.wakatuuliza tena "nyinyi ni nani?" Tukajibu majina yetu wakatutandika viboko mgongoni.

Wakatuchukua na kutupeleka nje. Kipindi hicho kulikuwa na baridi kiasi wakatuweka tupige magoti kwenye kuni.

Miguu iliuma sana kisha wakawa wanatumwagia maji halafu wanapiga kiboko.unapatwa na maumivu na ganzi.yale maji yalikuwa yamewekwa chumvi kali sana.

Tulikuwa tunawashwa ila hatuwezi jikuna.muda huo tunalia tu.

Wakaturudisha tena kwenye chumba. Tukakaa mpaka kukauka.wakatumwagia upupu mgongoni na kwenye makalio.

Tuliteseka sana. Maana hatukuweza jikuna sababu mikono imefungwa.tukaanza kugara gara chini tukijikuna walati huo huo tukutonesha vidonda vibichi vya viboko.

Usiku ule hatukulala.tulikuwa uchi kabisa nguo zetu wameziweka pembeni.

Tulikuwa tunasubiri watuambie hatima ya mfuko wa Ahmed maana kumbuka ulikuwa wa ngozi pia una kitu ndani. Hawakusema lolote.

Mimi nlizimia. Sijui wenzangu. Nlikuja shtuka nimemwagiwa maji saa 12-2 asubuh. Tumelazwa kwenye kuni.tukatolewa vitambaa usoni.mbele yetu alikuwa bwana mmoja mweusi mwenye macho mekundu sana.

Akatutaka tujieleze alizungumza kiswahili kibovu.ila tulimwelewa.tukamweleza kuwa ni watanzania na tumetoka kwa mganga kupata dawa ya utajili.

Jamaa alicheka sana...akasema tunafikiri yeye "mujinga" dawa gani huko ipo? Tukamweleza akasema tukae halafu tuje mwambia tena sisi ni akina nani.

Hakutuamini. Wakafungua mfuko wa ahmed wakaona tu shati yake na kaptula.wakawa wanaushangaa mkoba wa ngozi.

Wakatuchukua na kutupeleka kwenye jiwe kutuanika. Tulikaa juani jua kali sana tukiumia kwa lile jua na vidonda.inzi wakitusumbua sana na wakati mwingine wanakuja ndege kama kunguru wanataka kutudonoa.tulishalia mpaka sauti zikawa hazitoki.

Abdul alikuwa anakoroma tu.midomo imekauka mimi machozi hayatoki nimeshikwa na kiu sana.

Mpaka mchana kama saa saba au nane hivi alikuja. Bwana ammoja akatuangalia then akaita wenzie wakaja tuchukua wakituburuza kwenda tena room.tulikuwa tumechoka na tumeumia mpaka miili imekufa ganzi.

Wale jamaa walikuja mbele yetu na sinia wameweka paja la mtoto mdogo limechemshwa. Wakitaka tule.sikuamini nikidhani ni vitisho.wote tuligoma.wakatuachia hapo wakaondoka.jioni wakarudi wakakuta hatujala. Wakaondoka.

Njaa,kiu, maumivu vilikuwa vimetushika sana. Usiku ukafika. Tukiwa kwenye maumivu makali.mara tunasikia nao wana piga kelele wakiiimba na kutiana mori.

Ikafika asubuhi tumedhoofu ile nyama ipo bado kwenye sinia.hatukula.

Mchana wakatukuta tumelala hata kukaa hatuwezi tena. Akaja mtu mmoja kama mzee hivi akawa anatuangalia huku tumejilalia very weak.

Akamchukua Abdul akaondoka naye.ukapita muda mle ndani hatuelewi wameenda mfanya nini abdul.akarudi analia sana kidole kimoja mkono wa kushoto kimepondwa kimekuwa kama nyama tu inaning'inia.analia sauti imekauka. Wakaja nikamata na mimi nilizimia.

Nlikuja shtuka wote tumekaa kwenye majani halafu kuna yule mzee anaongea na Ahmed kwa kiswahili kibovu. Ahmed akasimulia tena sababu ya sisi kuwa kule.wakaondoka wakatuacha mle ndani na walinzi.

Baada ya kama saa zima hivi wakaja tena na wengine.wakatuchukua na kutupakiza kwenye gari. Wakatufunika machoni. Abdul walimwagia unga wa njano kile kidonda wakamfunga na matambala.tukatembea nao mwendo mrefu sana mpaka kuja fika karibu na ziwa...nlianza sikia harufu ya ziwa.nikahisi wanaenda kututupa ziwani. Hofu ilinijaa sana.

Baadaye wakatushusha na kutufungua kamba.wakatupa nguo zetu. Haraka sana Ahmed akakamata mfuko wake na kuchungulia ndani. Tukamwona akitabasamu. Hatukumwelewa.mimi nlimuuliza unatabasamu nini katika hali hii.akacheka akasema tushukuru tu tumepona.

Tulikaa pale pembezon ya ziwa tukanywa maji na kuanza hangaika tutakula nini.siku 2 hatujala.

Tukaanza tembea kwa maumivu sana pembezon mwa mto kutafuta wenyeji. Tulitembea sana mpaka kuja kuta kijiji kimoja ambacho wenyeji walitukaribisha.nakunbuka alikuwa mzee mmoja na mke wake na watoto watatu.mzee alifahamu kiswahili kidogo ila mtoto wake alikuwa anakielewa.tukawaelezea.wakasema tusiingie ndani mwao. Watatuandalia sehemu nje tule then tusubiri wavuvi wakitoka watatupeleka sehemu ambayo tutapata mitumbwi ya kwenda kigoma.

Tulikula tukalala huku mimi nikiota ndoto mbaya sana. Mama alikuwa anaumwa sana lakini alikuwa ananililia mimi nikiwa nimesimama pembeni yake.

Nlishtuka nikipiga kelele na kuanza kukimbia kuelekea ziwani.wenzangu walishtuka sana...kunikimbiza hawawezi walikuwa dhaifu.kijana mmoja wa yule mzee alinikimbiza akanipiga mtama.nilianguka akanikalia juu.nlikuwa kama chizi.

Wanasema wenzangu kuwa nlikuwa napiga kelelel kuwa mama anisamehe. Yule mzee alikuja akanipaka mafuta kichwani na mengine akaninywesha.akanishika masikio akawa akiongea maneno yake flani.nikapoa.

Jioni saa 12 wakaja wavuvi.yule mzee akawaelekeza. Tukapanda kwenye mitumbwi na kuanza kuondoka. Mfukoni hatukuwa na kitu. Yule mzee kule porini tulimwachia pesa kila mtu 2000 akasema hiyo inatosha. Wale waasi walikagua na kuchukua kila kitu mifukoni.

Kwenye ile mitumbwi tulibebwa hatuna kitu.yule mzee alituombea na kusema wale jamaa wangetufaulisha kwa wavuvi wa Kigoma humo Ziwani.

Tulitembea usiku wavuvi wakivua na kutega nyavu zao. Wakaenda mpaka sehemu moja wanasema kuna kinu.ni jiwe kubwa sana.wakasema tusubiri hapo. kama baada ya masaa matatu ukatokea mtumbwi mwingine wakaongea nao na kutuambia tuhamie humo.

Tukiwa mle kwenye mtumbwi ahmed na mkoba wake tu kwapani hauachi mvuvi mmoja akamtizama na kumuuliza "utayaweza masharti yake? Hatukumwelewa.

Wakatupa ugali na dagaa tukala tukajilaza.mwili ulikuwa umechoka, unauma, akili haipo sawa. Nikiwaza matukio yote sielewi hasa nini kilikuwa kinatokea. Wakati flani hudhani it was a dream. Lakini haikuwa ndoto.

Nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua wenzangu walipatwa na nini kule ndani ya mti. Tulifika Kigoma....

Itaendelea.....
Tendelee popcorn za laki mbili ziko chonjo kabisa
36a4f027f4da41de210963348ad6e5f6.jpg
 
Back
Top Bottom