Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa mamba wa kichawi mkuu sijui unaelewa mkuu.Mamba anameza maji tu vingine lazima avitafune tafune kwanza au avipukutishe viwe vidogo aweze kuvimeza... so kama ni Mtoto lazima amvunje kichwa kwa kukibastisha... hapo Chizi kweli Maalifa sema hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
Mamba kakemewa mtu akawa wa moto kamtema!Mimi sishangai mamba kumeza watu ninachoshangaa mamba anameza na kutema!
Hii ni kawaida Sana kwa watu wanaoishi maeneo ya ziwani.Watu mna visa nyinyi..huyo mwenzenu mliemtoa sadaka katika ziwa inatia mshangao.
Kama ni mpenzi wa hizi story, mcheki Davistar Mata youtube utakubaliKamwe kwe hadithi za ushuhuda wa kweli kama huu, huwezi nikosaaaa, hawanitag ila mzee nyuzi hizi nazifukuzia humu jf balaaa[emoji38][emoji38][emoji38] Abdul kakuta mkongojo hamna[emoji28][emoji28][emoji28]
Hata katika fukwe za Ziwa victoria watabe wengi walifuga mamba zao na kuzitumia katika ulozi hususan Sengerema ya zamani, huko vusiwani na ukerewe.Ziwa Tanganyika hapo zamani ilikuwa ni kawaida wazee wanafuga mamba zao humu kama mgeni au familia ya kinyonge unamezwa na mamba tu.
Kwahiyo usishangae hiyo ni kawaida tu.