Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Niko poa kabisa, sijui wewe?Asante mamii,uko poa ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko poa kabisa, sijui wewe?Asante mamii,uko poa ww
Peleka Telegram tukalipie bhana buku sio kitu Stori tamu hii usiiache huku bure
Kuna watu wana viherehere kama pisikaliWatu kama wewe natamani mods wawe wanawapiga ban fasta
Usiishi kwa kukariri ndugu, huwezi kuwa mjuvi wa kila kitu vitu vingine uliza ufahamishwe. Walioishi Mwanza na maeneo yenye ushirikina wa Mamba, hili wala sio la ajabu.Mamba anameza maji tu vingine lazima avitafune tafune kwanza au avipukutishe viwe vidogo aweze kuvimeza... so kama ni Mtoto lazima amvunje kichwa kwa kukibastisha... hapo Chizi kweli Maalifa sema hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
Ukishaupata unauona tena si chochote si loloteSabskraibd!
Utajiri unatutesa mno binaadam!
Ndio maana serikali haipeleki maendeleo kule. Kuna watu wapumbavu sana.Huo mji kuwa kama Dubai ni ndoto. Ushirikina na maendeleo ni Maji na Mafuta.
Ndio maisha ya vijijini kiujumla mkuu, hata kama unauwezo kiuchumi utajitahidi uishi kama wengine kijijini kwa sababu za 'kiusalama'Ujiji wanapenda sana ushirikina ndio maana hamna maendeleo watu wanaogopa kujenga nyumba nzuri kisa watarogwa
Unapoint ya msingi mnooo mkuuuKama waganga wanatoa utajiri why watz ni dhoofu Hali hata mlo mmoja tu taabu.Hali 90 ya watz wanasaka ndumba.
Hapo kwenye mamba hata mimi nikasita kidogoKwamba ulimezwa na mamba kisha akakutema!!
Huyo mamba alikuwa na masihara.
Ujiji kumezidi vijumba vibovu wazee wakomna kanzu safi ukifika kigoma lazima uonywe usitembee na wanawake wa hukoNdio maisha ya vijijini kiujumla mkuu, hata kama unauwezo kiuchumi utajitahidi uishi kama wengine kijijini kwa sababu za 'kiusalama'
Nilishangaa kijiji flani kanda ya ziwa eti hawanunui mboga zenye hadhi kama nyama(zinaozea buchani) na samaki wakubwa hawanunuliwi.. wao ni mwendo wa furu tu.. wanadai hawataki kufatiliwa na 'wajuvi'
Hawa watakuwa ni mamba wa kishirikina,Huyu mamba atakua ni Dudubaya the mamba co yule crocodile
Kuna watu humu ni wajuaji kweli,kanda ya ziwa kuna ushirikina wa mamba,mamba anakuchukua mzima mzima anakupeleka kwa aliyemtuma.Usiishi kwa kukariri ndugu, huwezi kuwa mjuvi wa kila kitu vitu vingine uliza ufahamishwe. Walioishi Mwanza na maeneo yenye ushirikina wa Mamba, hili wala sio la ajabu.