Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Tupo hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana.Huyo nahisi walitoa kafala tu mkuu ili wengine wapone, japo mleta uzi ndo mwenye jibu sahihi. Mm nimehisi hivo
[emoji23][emoji23][emoji23] Huu mwaka ni kila mtu anakumbuka alikotoka #2021 For TBT.Huu mwaka kazi tunayo, na Mimi ntakuja na yangu
Ukisubiria embe liive wenzako wanalila kwa chumvi likiwa changa.Nachukizwa sana na wajinga wanaotaka kutongoza wanawake siku hiyo hiyo wawaonapo
Nimewahi mapema kabisaBaby nilitaka klnikutag kumbe ushawahi seat Bila nishtua...
Kwahyo unakufa au inakuwaje au mashetani yanakukula?Ukitolewa kafara unazani kun kurudi Tena!!!
Ziwa Tanganyika hapo zamani ilikuwa ni kawaida wazee wanafuga mamba zao humu kama mgeni au familia ya kinyonge unamezwa na mamba tu.Kwamba ulimezwa na mamba kisha akakutema!!
Huyo mamba alikuwa na masihara.
Vipi hakuna kulipia kwa mbeleni!?