Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ishu ni kweli ukiuliza wakara watakwambiaKwamba ulimezwa na mamba kisha akakutema!!
Huyo mamba alikuwa na masihara.
Bado sijainywa hii chai mkuu, vipi jamaa amekumbuka kuweka tangawizi?
Hatari sana mkuu..!Kamwe kwe hadithi za ushuhuda wa kweli kama huu, huwezi nikosaaaa, hawanitag ila mzee nyuzi hizi nazifukuzia humu jf balaaa[emoji38][emoji38][emoji38] Abdul kakuta mkongojo hamna[emoji28][emoji28][emoji28]