Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Cheki huyu, hapo ulipo unajifananisha na watu wengine ..ukisema watz ni dhoofu, jisemee wewe ndio dhoofu bin hali..maamuzi ya kua maskini unayo, pia maamuzi ya kua tajiri unayo, kila mmoja ana njia yake ya siri. Tunatofautiana njia za kupita na maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wangapi mmefanikiwa kwa kumnunulia kuku mganga.
Hizo njia za Siri ndo mbona wengi ni fukara.Kipimo nenda na elf 10 kijijini katafute chenji upate mrejesho.
 
Kwamba nimtoe maza, akawe msukule huko chini ya ziwa huku mimi nakula goodtime, wakati kahangaika na mimi miezi 9, kaniza kwa uchungu(wewe ukitaka ujue uchungu wake imagine size ya K halaf na ukubwa wako akakutolea hapa). Kakunyonyesha, kakuosha mavi yako, kahangaika kwa dhiki zote. Halafu leo nimtoe. Acha niwe tu na maisha ya kukopa vocha, utajiri wa hivyo NEVER.
 
Daa mkuu ungechoma kweli Ungekuwa ni tajiri pia mie kuna mmoja aliniambia Mara Niue Mke Wangu,Mara mwanangu ama mwanangu awe kama mento yule Wa kutoa maudenda mkuu.
Duu nikawaza nikaona dunia tunapita. Uzuri zile mambo akili yako timamu inakuwepo so ni Poa Sana.
Ila mie natafuta Wa kuvaa nguo moja miaka hata mia,nilale chini ama nisidinde yaani kuua tu kunanishinda na mwanangu nampenda eti nimuue kwani utajiri huo sintokufa.
Maisha ya binadamu hapa duniani ni mafupi mno yaani mno kuna muda utafika uyalijua hili.
Ukiwa 10+ ,20+ unaona kama utaishi milele ila ngoja uanze kugusa 30+,40+
 
Daa mkuu ungechoma kweli Ungekuwa ni tajiri pia mie kuna mmoja aliniambia Mara Niue Mke Wangu,Mara mwanangu ama mwanangu awe kama mento yule Wa kutoa maudenda mkuu.
Duu nikawaza nikaona dunia tunapita. Uzuri zile mambo akili yako timamu inakuwepo so ni Poa Sana.
Ila mie natafuta Wa kuvaa nguo moja miaka hata mia,nilale chini ama nisidinde yaani kuua tu kunanishinda na mwanangu nampenda eti nimuue kwani utajiri huo sintokufa.
Maisha ya binadamu hapa duniani ni mafupi mno yaani mno kuna muda utafika uyalijua hili.
Ukiwa 10+ ,20+ unaona kama utaishi milele ila ngoja uanze kugusa 30+,40+
Shinyanga kuna tajiri mmoja dukani kwake huwa anakaaga na toto lake moja linatoa kamati zezeta hivi. Yuko karbu na crdb.
 
Daa mkuu ungechoma kweli Ungekuwa ni tajiri pia mie kuna mmoja aliniambia Mara Niue Mke Wangu,Mara mwanangu ama mwanangu awe kama mento yule Wa kutoa maudenda mkuu.
Duu nikawaza nikaona dunia tunapita. Uzuri zile mambo akili yako timamu inakuwepo so ni Poa Sana.
Ila mie natafuta Wa kuvaa nguo moja miaka hata mia,nilale chini ama nisidinde yaani kuua tu kunanishinda na mwanangu nampenda eti nimuue kwani utajiri huo sintokufa.
Maisha ya binadamu hapa duniani ni mafupi mno yaani mno kuna muda utafika uyalijua hili.
Ukiwa 10+ ,20+ unaona kama utaishi milele ila ngoja uanze kugusa 30+,40+
Kweli tunatofautiana, kwangu sharti gumu apo kutodindisha apo kwa kweli bora niukose huo utajiri.
 
porojo. Nani alikuambia mafanikio yanakuja kwa kununua kuku..ndivyo mnavyodanganywa na manabii uchwara ? Poleni sana. Narudia kusema uamuzi wa kuupigania uwe maskini kwa nguvu zako zote unao, na kuupigania utajiri uwe nao kwa nguvu zote unao. Wengi ni mafukara sababu wameamua kua mafukara, vilevile wengi na matajiri sababu wameamua kua matajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr vincent normal pelle say this
 
Back
Top Bottom