Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Anakera bhana. Hii si mara Ya kwanza. Tangu tunakuwa wapole mpk inabidi kumwambia ukweli. Kazoea atiAngel ebu tulia basi ndio unamkimbiza kuwa kama mimi kapole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakera bhana. Hii si mara Ya kwanza. Tangu tunakuwa wapole mpk inabidi kumwambia ukweli. Kazoea atiAngel ebu tulia basi ndio unamkimbiza kuwa kama mimi kapole
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tumvumilie hivyohivyo hakawii kususaAnakera bhana. Hii si mara Ya kwanza. Tangu tunakuwa wapole mpk inabidi kumwambia ukweli. Kazoea ati
Radio Free wako vizuri, Magasha anamuacha msimuliaji anatiririka kama dakika 10 hivi ndio anaweka tangazo. Shida iko Clouds ile wanaita sijui Njia Panda kila dakika mbili tangazo. Clouds kweli ni ubao wa matangazo.Shida ya simulizi za redioni ni mtu kukatishwa kila baada ya dakika 5 na muda wa kipindi mfupii..na mtangazaji kumkatisha kwa maswali! Na msimuliaji kuruka baadhi ya "scene" kama mapenzi aaarrrh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti nyama zpo chiniNaona mmenyooka tuliwambia nyama ziko chini ona mnavofurahi hata hivo chizi mstaarabu mwingine angeacha
Kumbe Shunie unapenda sana hizi simulizi...hahaha nilikuona kule mitaa ya Khumbu 😀😀Chizi Maarifa ukuje bwana tunakusuburi
Ushaambiwa ni chizi, maarifa anayatoa wapi sasa?Mtoa mada hana maalifa
Nimesurrender na sasa nime unSub rasmi kutoka huu uzi.Mnaosubiri jamaa aje kumalizia hii story ni sawa na mnasubiri Bombardier pale Ubungo Bus Terminal.
Hapo alipo anatunga nyingine tena yakuja kuwaacha njiani. Ndio kawaida yake msitegemee amalizie story zake.
Asante mummy
Thread closed