Visa vya matapeli na watoto wa mjini

[emoji23][emoji23][emoji23] najua umewagusa wengi humu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna wale wapo kariakoo karibu na shule ya uhuru wakiwauzia watu sabuni badala ya simu yenyewe.na mabosi zao ndio wenye maduka wakiwazamini simu hizo kisha jioni kuleta hesabu.na wenye maduka ya vitu vya nyumbani hapo kkoo ndio wanao ongoza kuhuza miche ya sabuni kwa matapeli.[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuu

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…