Visa vya matapeli na watoto wa mjini

[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Ukinipa RB no au jina lake naweza kufuatilia

Jr[emoji769]
 
Matapeli wengi hadi sasa ni wakidada.
Hii maana yake nini?
 
Enzi hizo za blue blue, elfu kumi ya blue, magazeti yalikuwa yanauzwa 100 - 200 tsh! Tunaelekea mkoa tupo kwenye kiswele siti ya nyuma kabisa, tupo ubungo jamaa akatoa blue apewe magazeti ya 500 jumla, nipashe, kasheshe majira sanifu dimba! Muuzaji akadai hana change, akaomba amwachie magazeti akatafute change! Boss akaachiwa mzigo wote wa magazeti ya siku!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
JAmaa kaingia kanisani nA mAtunguri na kAratasi za kiarabu na tuchupachupa. Anasema kampokea Yesu. Alikuwa mganga, jambazi na amekabidhiwa mikoba ya ukoo mzima. Kila mwaka anaua mtu kama kafara ya ukoo. Ujambazi ulimpeleka jela ndiko alipomuona bwana Yesu kwenye njozi anang'aaaa saana akamwambia ukitoka jela nenda kajisalimishe kanisa lile.

Alifanikiwa kutushika masikio wadau , tukamsuport mavazi na fedha kidogo, tukachoma Kwa Maombi na nyimbo ile uchawi wake. Mara paaap mama mmoja anakumbuka sura hiyo hiyo imewahi kuja kwa gia hiyo hiyo miaka minne iliyopita. Mara paaap jamaa aliyemuona huyo bingwa makanisa tofauti zaidi ya mawili na swaga hizohizo. JAmaa kuitwa kikao akajua kishanuka. Akatokomea kusiko julikana. Kabla hajadukulika jAmaa alikuwa na bidii kuliko hata mchungaji kwenye kuwahi, utadhani alikuwa na PHD ya time management. Kuja kupata file lake ni muhuni wa buguruni na wako wengi wanatumia huruma za waumini na uroho wa miujiza kutapeli makanisani. Kuna mtandao mwingine wa wizi wa simu na mikoba makanisani. Waliwekewa mtego na mashemasi mrembo mmoja akakamatwa msalani akiwa anaichimbia ili aondoke. Hii ilikuwa baada ya wizi kukithiri kumbe ni jamaa wanazunguka makanisani kuiba vitu vya waumini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akawa ameshauza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…