Ha ha ha ndio maana Mimi hata tuelewane vipi ila pesa situmi,,,maana ni uboya kutuma pesa kwa mtu usiyemjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshawatapeli wazungu flani pale Dodoma sijui ndo area D, walikua madogo mascout kutoka Belgium wanataka kupanda simba hill. mtoto wa Dar nkakubali kuchukia kazi kwa malipo ya Dollar ishirini kila mmoja km entrance fees, usafiri Dollar 50, na lunch box Dolla 10 hapo bado hawajanilipa mimi.
Tatizo linaanza baada ya kuuliza sana kwa wenyeji nikapata mjanja mmoja akanambia hapo simba hill kwa chini sio mbali na makazi ya Muheshimiwa Prime so itakua sio rahisi km unavyodhania. nikachekecha mimi sio guide sijawahi somea uguide, sina ata leseni ya uguide nkipanda hapo juu na wageni manjangu wakanishika me ni nani na nafanya nini itakua tatizo na huku wageni wanajua jamaa ni profesional guide.
Ilibidi me na mjanja mmoja wa kondoa ambae tulikua nae hapo Dom tukauze vimilima vingine ambavyo vyote tulisema ni simba hill, hapo zamani simba walikua wanapenda kukaa hapo juu kwenye hayo mawe ndomana pakaitwa ivyo.
tulisikia wanasema this view is breathtaking. tukajua hapa hadi tip tunapewa matapeli. kazi ilienda vizuri wakapata na picha za sunset tukapata mawe yakwenda kuweka heshima bar na watoto wazuri.View attachment 1029611
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah wananchi wenye jazba nyingi hawakumchum kidogo?Jumatatu, 4 March, 2019
Saa 07:15. Kituo cha daladala, Makumbusho.
Hapa nakutana na tapeli, na nahabarishwa ni mzoefu sana. Amekamatwa baada ya kutaka kumtapeli mdada mmoja mrembo aliyepo hapa stendi akisubiri daladala.
Kisa kipo hivi: huyu jamaa, ni smart kwa mavazi, kavaa kadeti na T-shirt ana begi kama la mwanachuo. Kamwangia dada kuwa yeye ni mwanachuo na amepoteza simu anaomba awasiliane na mwanafunzi mwenzake mara moja. Sasa kwa harakahara, unaweza kujua nu kweli kwa sababu hapa Makumbusho ni kama center ya kwenda ktk vyuo vyote vikubwa na vidogo, na zaidi hapa hapa kuna vyuo vilivyo karibu kabisa na hii stendi ya Makumbusho.
Dada kampa simu, jamaa anapiga huku anasogea mbele kidogo kidogo, mara katokomea kwa watu. Katika harakati za kupepesa macho dada kamuona. Jamaa ndo anajifanya ohh simu yako hii yapa...dada kapaniki kamjazia watu.
Mmoja wa waliofika anamfahamu tapeli. Akaanza kuelezea kuwa huyu tapeli namfahamu tangu anakuwa na anakaa Kimara Over. Target yake sana ni wakinadada wale wanaojifanya ma sister duu. Mara nyingi mawindo yake ni mavyuoni na Mlimani City. Polisi jamii wakafika wakamchjkua tapeli na kwenda naye mahali salama.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Kuna dada alikuwa mwajiriwa wa serikalini nae alikuwa na tabia kama yako anatongozwa na mtu FB anampa namba wanawasiliana anamkubalia anawasiliana nae kama mpenzi wake,,na alikuwa na bahati ya kunasa wajinga wajinga wenye hela basii jamaa anahudumia siku ya kuonana akituma nauli ndo mwisho wa mawasiliano,,,ila kuna siku akakutana na mmoja wa mbeya akala hela zake mwisho wa siku akamzingua,,yule demu aliumwa na ugonjwa wa ajabu kama sio ndugu zake kuwahi mizimu ilikuwa azikwe,,ilibidi wafunge safari toka dar hadi mbeya kumuomba huyo jamaa msamamaha wakamlipa na gharama zake.....Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.
Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?
Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Aisee kuna watu hawadangwiiiKuna dada alikuwa mwajiriwa wa serikalini nae alikuwa na tabia kama yako anatongozwa na mtu FB anampa namba wanawasiliana anamkubalia anawasiliana nae kama mpenzi wake,,na alikuwa na bahati ya kunasa wajinga wajinga wenye hela basii jamaa anahudumia siku ya kuonana akituma nauli ndo mwisho wa mawasiliano,,,ila kuna siku akakutana na mmoja wa mbeya akala hela zake mwisho wa siku akamzingua,,yule demu aliumwa na ugonjwa wa ajabu kama sio ndugu zake kuwahi mizimu ilikuwa azikwe,,ilibidi wafunge safari toka dar hadi mbeya kumuomba huyo jamaa msamamaha wakamlipa na gharama zake.....
Huyo dada tokea hapo Aliacha na kutumia FACEBOOK,,INSTAGRAM kwa ufupi na smartphone akauza na anatoa darasa kwa wenzake.....
Omba yasikukute
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadithi hii umeitunga hapa hapaKuna dada alikuwa mwajiriwa wa serikalini nae alikuwa na tabia kama yako anatongozwa na mtu FB anampa namba wanawasiliana anamkubalia anawasiliana nae kama mpenzi wake,,na alikuwa na bahati ya kunasa wajinga wajinga wenye hela basii jamaa anahudumia siku ya kuonana akituma nauli ndo mwisho wa mawasiliano,,,ila kuna siku akakutana na mmoja wa mbeya akala hela zake mwisho wa siku akamzingua,,yule demu aliumwa na ugonjwa wa ajabu kama sio ndugu zake kuwahi mizimu ilikuwa azikwe,,ilibidi wafunge safari toka dar hadi mbeya kumuomba huyo jamaa msamamaha wakamlipa na gharama zake.....
Huyo dada tokea hapo Aliacha na kutumia FACEBOOK,,INSTAGRAM kwa ufupi na smartphone akauza na anatoa darasa kwa wenzake.....
Omba yasikukute
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuharibu thread ya watu kwa kupenda sifa za kijinga,NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA
kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.
Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.
Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.
Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.
Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.
Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.
Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.
Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?
Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
AhaahaaahaaaJuzi ni kama kuna jamaa wamenitapeli tairi za gari hila sina uhakika naogopa kuzifungua
Kuna dada alikuwa mwajiriwa wa serikalini nae alikuwa na tabia kama yako anatongozwa na mtu FB anampa namba wanawasiliana anamkubalia anawasiliana nae kama mpenzi wake,,na alikuwa na bahati ya kunasa wajinga wajinga wenye hela basii jamaa anahudumia siku ya kuonana akituma nauli ndo mwisho wa mawasiliano,,,ila kuna siku akakutana na mmoja wa mbeya akala hela zake mwisho wa siku akamzingua,,yule demu aliumwa na ugonjwa wa ajabu kama sio ndugu zake kuwahi mizimu ilikuwa azikwe,,ilibidi wafunge safari toka dar hadi mbeya kumuomba huyo jamaa msamamaha wakamlipa na gharama zake.....
Huyo dada tokea hapo Aliacha na kutumia FACEBOOK,,INSTAGRAM kwa ufupi na smartphone akauza na anatoa darasa kwa wenzake.....
Omba yasikukute
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr usisahau tuu huku kuna wanawake ma jasusi.. Kuwa makini saaaana, kama ni utani uishie kwenye keyboard na button za simu.. Nakutahadharisha.. WANTED!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
[emoji106][emoji123][emoji123][emoji87][emoji87]Mshana Jr usisahau tuu huku kuna wanawake ma jasusi.. Kuwa makini saaaana, kama ni utani uishie kwenye keyboard na button za simu.. Nakutahadharisha.. WANTED!!
Sent using Jamii Forums mobile app
nami ilikua imebak kiduchu Ni bigwe hv hv😄😄Atapeliwa Milioni 1.5 Kimara Daraja la mwendo kasi.
Ilikuwaje?
Kuna dada alikuwa anatembea kwenda kupanda daraja akiwa uelekeo wa barabara ya lami ile inayoelekea Mbezi ili akapande daraja la mwendo kasi. Mara gari aina ya Vitz ikapaki karibu yake, siti ya nyuma kakaa bibi kama wa miaka 60-70 hivi. Bibi anaongea kingereza cha kiganda. Akamwambia ninashida na kama unajua kingereza unaweza kunisaidia Mimi mgeni hapa Tz. Dada akasema anajua kingereza basi wakamwambia ingia ndani ya gari twende tuongee.
Gari ikazungushwa upande wa pili wa Barbara njia ya Dawasco kuna bar wanauza supu wakakaa wakawa wanakunywa supu wote yule bibi na jamaa wawili na Dada wa nne.
Bibi akaanza kumuongelesha yule mdada kuhusu kwenda kubadilisha pesa ( dola) kuwa kt k Tsh.
Hoja ya bibi ni kuwa yeye ni mgeni na hajui benki ya karibu ilipo na anaogopa atadhulumiwa kwa kuwa wao siyo wazawa na ni wageni kabisaa hapa Tz ukizingatia mambo ya Magu hivyo wanahitaji mtu mTz mwaminifu awasaidie kuwabadilishia madola yao mengi bila kufatiliwa na Magu. Akiwasaidia watampa millioni tano.
Dada kasomeshwa akaelewa somo. Akaanza kuwaambia hapa kimara kuna benki ya posta ipo kwa mbele pale karibu na njia ya kwenda Dawasco au Matangini...
Akamwambia basi kama ndo hivyo we nenda kabadilishe utatukuta hapahapa...Dada akapewa bahasha imetuna sana uzito pesa ikiwa imefungwa. Ile Dada anataka kunyanyua handbag yake tu...yule kaka mmoja akasema si tupo hapa utatukuta...mbona sisi tumekuamini kwa hela zaidi ya million 40 we unashindwa kutuamini kwa kibegi tuu...
Sasa kwa sababu siyo mbali na benki Dada akaona sawa tuu...yaani anatembea huku anaangalia angalia nyuma...sasa kafika pale benki kuna kijibanda cha mlinzi. Akaona ajibanze pale pale nje kabla ya kuingia ndani benki afungue ile bahasha atizame madola kabisaa....ile anafungua bahasha akakutana na makaratasi ya kaunta buku yamekatwa size ya dola...si ndo anasema awawai pale bar...yaani kabla ya kufika pale haoni ile Vits...akakimbia kwa speed...kufika bar hamna bibi wala wale vijana...anauliza wakamwambia yaani ile unatoka tuu nao wameingia kwenye gari...kuelekea uelekeo wa mjini...ikabaki story.....
Dada akawa kaachwa na tobo la Milioni 1.5 kama mchezo asubui ile.
Nb
Tukio limetokea mwaka jana November Kimara, DSM.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Sorry n pigweNi bigwe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
Mtaaramu wa kilinge,updatesNi bigwe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
Kuna msukuma mmoja alitapeliwa pale posta ya mpya kwa njia hii hii... Msukuma anatoka nje,haoni watu,wajomba wa town washasepa na burungutu lake,nakuachiwa makaratasi... alilia kisukuma (Mayu nene)Atapeliwa Milioni 1.5 Kimara Daraja la mwendo kasi.
Ilikuwaje?
Kuna dada alikuwa anatembea kwenda kupanda daraja akiwa uelekeo wa barabara ya lami ile inayoelekea Mbezi ili akapande daraja la mwendo kasi. Mara gari aina ya Vitz ikapaki karibu yake, siti ya nyuma kakaa bibi kama wa miaka 60-70 hivi. Bibi anaongea kingereza cha kiganda. Akamwambia ninashida na kama unajua kingereza unaweza kunisaidia Mimi mgeni hapa Tz. Dada akasema anajua kingereza basi wakamwambia ingia ndani ya gari twende tuongee.
Gari ikazungushwa upande wa pili wa Barbara njia ya Dawasco kuna bar wanauza supu wakakaa wakawa wanakunywa supu wote yule bibi na jamaa wawili na Dada wa nne.
Bibi akaanza kumuongelesha yule mdada kuhusu kwenda kubadilisha pesa ( dola) kuwa kt k Tsh.
Hoja ya bibi ni kuwa yeye ni mgeni na hajui benki ya karibu ilipo na anaogopa atadhulumiwa kwa kuwa wao siyo wazawa na ni wageni kabisaa hapa Tz ukizingatia mambo ya Magu hivyo wanahitaji mtu mTz mwaminifu awasaidie kuwabadilishia madola yao mengi bila kufatiliwa na Magu. Akiwasaidia watampa millioni tano.
Dada kasomeshwa akaelewa somo. Akaanza kuwaambia hapa kimara kuna benki ya posta ipo kwa mbele pale karibu na njia ya kwenda Dawasco au Matangini...
Akamwambia basi kama ndo hivyo we nenda kabadilishe utatukuta hapahapa...Dada akapewa bahasha imetuna sana uzito pesa ikiwa imefungwa. Ile Dada anataka kunyanyua handbag yake tu...yule kaka mmoja akasema si tupo hapa utatukuta...mbona sisi tumekuamini kwa hela zaidi ya million 40 we unashindwa kutuamini kwa kibegi tuu...
Sasa kwa sababu siyo mbali na benki Dada akaona sawa tuu...yaani anatembea huku anaangalia angalia nyuma...sasa kafika pale benki kuna kijibanda cha mlinzi. Akaona ajibanze pale pale nje kabla ya kuingia ndani benki afungue ile bahasha atizame madola kabisaa....ile anafungua bahasha akakutana na makaratasi ya kaunta buku yamekatwa size ya dola...si ndo anasema awawai pale bar...yaani kabla ya kufika pale haoni ile Vits...akakimbia kwa speed...kufika bar hamna bibi wala wale vijana...anauliza wakamwambia yaani ile unatoka tuu nao wameingia kwenye gari...kuelekea uelekeo wa mjini...ikabaki story.....
Dada akawa kaachwa na tobo la Milioni 1.5 kama mchezo asubui ile.
Nb
Tukio limetokea mwaka jana November Kimara, DSM.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo