Visa vya matapeli na watoto wa mjini


Unachukua wa shilingi ngapi?
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwaiyo alitulia mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]ukala mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Kila mjanja ana mjanja wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengine huwa yanatokea kama fundisho maishani ,,nilikua nataji pesa haraka kila mtu nikimsogelea ananiambia sina pesa nikasema isiwe shida nilikua namzigo wangu Tv nilikokua natumia nikaweka add kwenye mtandao Kwa bei ya chini mana nikua naitaj pesa fasta,nikapigiwa simu najama kaniambia anaagiza dereva wake aje kuichukua Ila pesa itabid aweke bank nikampa bank details ,mdaa si mrefu dereva akajaa hadii home nika mwambia subiri ni confirm kama pesa imeingia kwenye account ,,badaa ya Ku cheki nikaona sms yakwamba pesa imeingia Ila ilivo utaratibu wa bank tofauti inabid pesa icukue 24 h Ku reflect kwenye account,,nikampa dereva mzigo, na picha nikamuagizia jama Kwa ushahidi kwamba mzigo amepewa dereva wake ,,nikaka nasubiri pesa I reflect kwenye account sioni chochote badaa ya 24h nikenda bank nilichoambiwa kidogo nidondoshe chozi ,,ikabid niambiliwe muamala ule ulikuwa fake ,,daah ukizingatia nilikua naitaj pesa urgently ,,nikaona Mimi kidume nika make plan B na Mungu akajaliya mambo yakaenda sawa ,,Ila from that time i will never trust anyone so easily kabisaa!!![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaaahaaa [emoji1787]....best kumbe nawe umoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu wangu hii imeniumiza.. Haichekeshi hata kidogo.... Hawa watu hawana huruma hata kidogo

Jr[emoji769]
 
Daaah
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…