Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Unauziwa nguo usiku, kesho ukirudi lile eneo wamepanga viazi
Niliwahi fanya ujinga huu kigoma ujiji, sijisifii lakini kila siku nimekuwa nikijutia kitendo nilichokifanya na nina imani hata huyo niliyemfanyia atakuwa amenisamehe.

Ilikuwa Kigoma, mpaka siku ya tukio nilikuwa nimeshakaa siku 21 nalala msikitini, mpango wangu ulikuwa kuvuka kuingia nchi jirani, lakini kutokana na mambo yalivyokuwa tofauti najikuta nagika kigoma nina shilingi hamsini tu, muda ulikuwa ni ule wa salat magharib, sipendi kuelezea sana ila nilikomaa mui huo ka hizo siku 21 mapanga na kupangua, cna ndugu zaidi ya Utanzania wangu, hiyo siku nakumbuka...nitaendelea

Ilikuwa ni jumanne ktk pitapita zangu nikaona tangazo la mganga wa kienyeji kubwa kwamba ndio kiboko huyo mama na anuani zake pale, nikafuata maelekezo mpaka ujiji nikaulizauliza nikaelekezwa nikafika, wakati mimi naingia kulikuwa kuna jamaa na wakezake wawili walikuwa ndani kwa huyo maman a muda huo ndio walikuwaw akiondoka, nikasubiri mpaka wametokomea ndipo nami nikabisha hodi na nikakaribishwa ndani, nikamsalimu yule bi mkubwa kisha nikatulia tuli sikusema shida yangu, yule bibi akaseti mitambo yake pale kisha akaanza yeye kunichana mimi matatizo yangu na tangu siku naamua kutokomea huko, yaani hakuacha kitu ikumbukwe mimi sikwenda huko kuinjoy maisha hapana, nilikuwa na targets zangu ambazo hatanikiamua kuzianika hapa mnaweza kunielewa tofauti ila kifupi ni ktk kupambana nitoboe ninakotaka kwenda..bibi akaongeaaaa sana na mwisho nikaona naniwekea usiku nikamuuliza kama tayari matatizo yangu yote ushayajua unanisaidiaje? Akasema yeye atanisaidia kwa elfu arobaini, Dah, nikasema huyu bibi mwehu nini? Ina maana kashindwa kujua kama hapa sina hata kumi? Nikamwambia fanya dawa ila moyoni nilishavurugwa kwa tabia ile ya kutaka pesa wakati mfukoni sina mia nyekundu, Yule mama alinyanyuka akaingia ndani kuongeza dawa huku nyuma mimi nikabeba simu yake Nokia ya tochi na kwenye ungo kulikuwa na shilingi elfu hamsini ambazo nahisi wale niliopishana nao ndio walizitoa, nikabeba kisha nikamuandikia ujumbe ktk kipande cha gazeni "nikifanikiwa nitarudi, ahsante kwa msaada wako" nikaondoka, nikavaa lemba langu (Kama wapalestina) nilikuwa na kijiti nikakiweka mdomoni kisha nikanuia ninavyojua huku natokomea kule chini ziwani....ni story ndefu ila mwisho wa siku yule bibi alikuja ziwani akinitafuta na akaja kuniuliza kijana hujamuona kijana flani anarangi hivi na nywele zake ndefu kazibana kwa nyuma? Ananiuliza mimi na mtu anayemuulizia ni Mimi...nikamwambia sijamuona mama huku natafuna kile kjiti na napiga dua zote mnazo zijua na msizo zijua ili yule aondoke niendelee na safari, karata ilikuwa upande wangu ile ibilisi nikaiepuka ila sasa mbele ya safari boti ( mtumbwi wenye engine mbili) ulizama jirani na hifadhi ya gombe....naomba niishie hapa kwa sababu nazojua mwenyewe
Norshad malizia hii story

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atapeliwa Milioni 1.5 Kimara Daraja la mwendo kasi.

Ilikuwaje?

Kuna dada alikuwa anatembea kwenda kupanda daraja akiwa uelekeo wa barabara ya lami ile inayoelekea Mbezi ili akapande daraja la mwendo kasi. Mara gari aina ya Vitz ikapaki karibu yake, siti ya nyuma kakaa bibi kama wa miaka 60-70 hivi. Bibi anaongea kingereza cha kiganda. Akamwambia ninashida na kama unajua kingereza unaweza kunisaidia Mimi mgeni hapa Tz. Dada akasema anajua kingereza basi wakamwambia ingia ndani ya gari twende tuongee.

Gari ikazungushwa upande wa pili wa Barbara njia ya Dawasco kuna bar wanauza supu wakakaa wakawa wanakunywa supu wote yule bibi na jamaa wawili na Dada wa nne.
Bibi akaanza kumuongelesha yule mdada kuhusu kwenda kubadilisha pesa ( dola) kuwa kt k Tsh.

Hoja ya bibi ni kuwa yeye ni mgeni na hajui benki ya karibu ilipo na anaogopa atadhulumiwa kwa kuwa wao siyo wazawa na ni wageni kabisaa hapa Tz ukizingatia mambo ya Magu hivyo wanahitaji mtu mTz mwaminifu awasaidie kuwabadilishia madola yao mengi bila kufatiliwa na Magu. Akiwasaidia watampa millioni tano.
Dada kasomeshwa akaelewa somo. Akaanza kuwaambia hapa kimara kuna benki ya posta ipo kwa mbele pale karibu na njia ya kwenda Dawasco au Matangini...

Akamwambia basi kama ndo hivyo we nenda kabadilishe utatukuta hapahapa...Dada akapewa bahasha imetuna sana uzito pesa ikiwa imefungwa. Ile Dada anataka kunyanyua handbag yake tu...yule kaka mmoja akasema si tupo hapa utatukuta...mbona sisi tumekuamini kwa hela zaidi ya million 40 we unashindwa kutuamini kwa kibegi tuu...
Sasa kwa sababu siyo mbali na benki Dada akaona sawa tuu...yaani anatembea huku anaangalia angalia nyuma...sasa kafika pale benki kuna kijibanda cha mlinzi. Akaona ajibanze pale pale nje kabla ya kuingia ndani benki afungue ile bahasha atizame madola kabisaa....ile anafungua bahasha akakutana na makaratasi ya kaunta buku yamekatwa size ya dola...si ndo anasema awawai pale bar...yaani kabla ya kufika pale haoni ile Vits...akakimbia kwa speed...kufika bar hamna bibi wala wale vijana...anauliza wakamwambia yaani ile unatoka tuu nao wameingia kwenye gari...kuelekea uelekeo wa mjini...ikabaki story.....
Dada akawa kaachwa na tobo la Milioni 1.5 kama mchezo asubui ile.

Nb

Tukio limetokea mwaka jana November Kimara, DSM.


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Atapeliwa Milioni 1.5 Kimara Daraja la mwendo kasi.

Ilikuwaje?

Kuna dada alikuwa anatembea kwenda kupanda daraja akiwa uelekeo wa barabara ya lami ile inayoelekea Mbezi ili akapande daraja la mwendo kasi. Mara gari aina ya Vitz ikapaki karibu yake, siti ya nyuma kakaa bibi kama wa miaka 60-70 hivi. Bibi anaongea kingereza cha kiganda. Akamwambia ninashida na kama unajua kingereza unaweza kunisaidia Mimi mgeni hapa Tz. Dada akasema anajua kingereza basi wakamwambia ingia ndani ya gari twende tuongee.

Gari ikazungushwa upande wa pili wa Barbara njia ya Dawasco kuna bar wanauza supu wakakaa wakawa wanakunywa supu wote yule bibi na jamaa wawili na Dada wa nne.
Bibi akaanza kumuongelesha yule mdada kuhusu kwenda kubadilisha pesa ( dola) kuwa kt k Tsh.

Hoja ya bibi ni kuwa yeye ni mgeni na hajui benki ya karibu ilipo na anaogopa atadhulumiwa kwa kuwa wao siyo wazawa na ni wageni kabisaa hapa Tz ukizingatia mambo ya Magu hivyo wanahitaji mtu mTz mwaminifu awasaidie kuwabadilishia madola yao mengi bila kufatiliwa na Magu. Akiwasaidia watampa millioni tano.
Dada kasomeshwa akaelewa somo. Akaanza kuwaambia hapa kimara kuna benki ya posta ipo kwa mbele pale karibu na njia ya kwenda Dawasco au Matangini...

Akamwambia basi kama ndo hivyo we nenda kabadilishe utatukuta hapahapa...Dada akapewa bahasha imetuna sana uzito pesa ikiwa imefungwa. Ile Dada anataka kunyanyua handbag yake tu...yule kaka mmoja akasema si tupo hapa utatukuta...mbona sisi tumekuamini kwa hela zaidi ya million 40 we unashindwa kutuamini kwa kibegi tuu...
Sasa kwa sababu siyo mbali na benki Dada akaona sawa tuu...yaani anatembea huku anaangalia angalia nyuma...sasa kafika pale benki kuna kijibanda cha mlinzi. Akaona ajibanze pale pale nje kabla ya kuingia ndani benki afungue ile bahasha atizame madola kabisaa....ile anafungua bahasha akakutana na makaratasi ya kaunta buku yamekatwa size ya dola...si ndo anasema awawai pale bar...yaani kabla ya kufika pale haoni ile Vits...akakimbia kwa speed...kufika bar hamna bibi wala wale vijana...anauliza wakamwambia yaani ile unatoka tuu nao wameingia kwenye gari...kuelekea uelekeo wa mjini...ikabaki story.....
Dada akawa kaachwa na tobo la Milioni 1.5 kama mchezo asubui ile.

Nb

Tukio limetokea mwaka jana November Kimara, DSM.


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Walijuaje Huyo dada ana hizo Million??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Kumbe upo Dom nikija ntakusaka namie unitapeli

#bamia_ndefunene
 
Mkuu kuimalizia napenda lakini inahusisha mambo mengi meusi niliyopitia ktk utaftaji, acha tu mkuu ibaki hivyo
Malizia tu tafadhali... Kuna funzo na uzoefu watu wanaweza kupata....

Jr[emoji769]
 
Hahahahajahaha khaaaa una kisasi na mm
Usijione mjanja, kwa taarifa yako mademu wasumbufu kama nyie ndio mnafanyya wanaume Wanawasugueni kwa VUMBI LA MKONGO, KULIWA 0713 au kukupigeni mtungo wa mtu 3 ili tabia zenu zikome. Dawa yako inachemka sooon nakwambia achaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom