Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Kisa cha sita
Miaka ile ya 2000 mpaka 2007 hivi ilikuwa ukisafiri kwenda nje kupitia Ethiopia lazima ulale Adis Ababa kwa gharama zao wenyewe... Sasa hotel ya kulaza wageni wa airport ikawa imevamiwa na machangu wa kihabeshi... Walikuwa wanaipenda sana kwakuwa ni ya foreigners na mara nyingi wanalala usiku mmoja tu
Kwahiyo walichokuwa wanafanya hawa machangu ni kupaka dawa ya usingizi kwenye manyonyo yao.. Waliowahi kudate na watoto wa kihabeshi wanajua jinsi walivyo na chuchu konzi.....
Akiingia chumbani kwako lazima kwanza aende chooni kisha akitoka huko lazima atataka umnyonye matiti yake... Ukikubali tu kwishney... Hutamfanya na utaamshwa siku ya pili uwahi gari la airport (kuna gari maalum la kuchukua wageni).... Utashangaa usingizi mzito ulitoka wapi lakini ukijikagua umeshalizwa pesa na vitu vingine kasoro passport..... Sasa ni jukumu lako kuendelea na safari ama kuahirisha ufungue kesi
Kesho nitasimulia nilichofanya mpaka akalala yeye na mimi nikaondoka salama na vitu changu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Kuna jamaa yangu mmoja alipigwa hii na malaya villa mwanza.

Katoka North mara, tuko tunacheck band pale, mara akapita mwanamke mmoja hata kama umekaa na Beyonce meza moja lazima ugeuke. Jamaa mate yakamtoka, akamvuta mezani. Mida ya saa 5 dem anataka akale, sasa namuambia msosi hapa si upo akasema anataka twende salma cone ndio kuna mishkaki mizuri. Basi, K zinanguvu, tukaondoka kuelekea salma cone. Njiani dem akasema anataka apite kwake abadili nguo ili awe huru. Kwake anasema anaishi Mkolani.. (Dah, hii route kwa watu wa mwanza nadhani mnanielewa). Nikamwambia mbona mbali sana.. Sasa sbb dem alikuwa mbele na jamaa ndio anadrive, naona alizidiwa nguvu akiweka gia mkono unagusa paja..

Mwana akasema twende tu, akipitia crdb ya Pale lapf safari ikaanza. Kufika mkolani, tukasimamishiwa lodge. Nikamuuliza ndio hapa, dem akasema ndio hapa, amekuja kwenye semina na amefikia hapa. Nikahisi hapa ipo namna. Sbb mtu kichwa kidogo kishasimama kikubwa hakifanyi kazi.

Tukarudi na kufika salma cone. Msosiz baadae tukaenda club hadi night kali jamaa yuko tungi.. Dem kama hajanywa vile na amegonga savanna kama 10.. (Nikahisi huyu ni mamba). Kufika lodge, nikawaacha.. Asubuhi saa 2 napigiwa sim namba ngeni... Kufika lodge, jamaa anasema Dem kasepa na Iphone, Note 5, na laki 4... Nilijikuta nacheka sana badala ya kusikitika.

Sasa kuuliza ilikuwaje, jamaa anasema alipoingia alipiga kimoja, wakaingia bafuni, dem akarudi chumbani na kuja bafuni, wakiwa mle dem akaanza mnyonyesha matiti.. Akaona kama mwili unazidi ishiwa nguvu... Akashtuka asubuhi yuko bafuni... Wale watu wa lodge wanasema dem alitoka saa 12 akidai anamfuatia mmewe dawa za moyo amezisahau bar...

Ikabidi twende kule lodge, kufika kule wanasema huyo mwanamke alichukua chumba tu hapo alilala na mtu, so muda ule alipokuja alibadili nguo na kutoka. Chumbani kukuta kaacha nguo tu zile za usiku uliopita.

Ukiona vitu visivyo vya kawaida nasi ujue hapi taa nyekundu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
Ivi 2013 kulikuwa na balimi ndogo? Mchai chai umezidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
Mkuuu baharia wa Pacific[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tuu huo mkasa sijawahi kumsimulia mtu zaidi ya yule shoga angu aliejionea na humu maana niliona dunia imenielemea yani na mm nimetapeliwa duu kijingaaaa
Ishawahi kumkuta rafiki angu aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nilicheka sanaa yani hatukuamini kama ndo tushaibiwa hivyooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo bahat mbayaaa
Ilikuwa mwaka 2006 wakati huo blackberry ndio simu za bei ghali hasa,... Kwenye gari niko na wavimba macho watatu, dereva mimi, tunatokea Mwenge tunaenda Moro
Kufika kwenye foleni ya ubungo akaja kwenye dirisha la gari mtu kama kibaka akaichomoa ile simu mfukoni na kuwaonesha wavimba macho basi mmoja akafungua kioo na kuuliza shngapi? Kibaka akasema laki 2... Mchina akasema hamsini basi wakawa wanavutana bei kumbe yule tapeli alikuwa anataimu taa
Magari yaliporuhusiwa akajifanya shingo upande kakubali ile hamsini.... Mchina akatoa hela akakabidhiwa simu yake tukatembea.... Tunafika usawa wa tanesco nilisikia tu misonyo na na matusi ya kichina... Haikuwa simu bali kipande cha sabuni kwenye housing ya BB

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom