Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #401
Sawa sawabasi sawa mkuu siku nikiwa maeneo takuvutia wayabonag hii...View attachment 1028804
Sent using Jamii Forums mobile app
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawabasi sawa mkuu siku nikiwa maeneo takuvutia wayabonag hii...View attachment 1028804
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana alikupa pesa ya siku mbili, maana Simba Hotel chumba ni 25,000/=NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA
kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.
Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.
Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.
Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.
Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.
Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.
Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.
Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?
Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
No Sielewi ila nafikiri ni Mrembo huyo Binti. Kwani ina maana gani hasa
Jicho (single eye) haliwezi kuwakilisha bint mrembo. Urembo wa mtu ni sura kwa ujumla wake.No Sielewi ila nafikiri ni Mrembo huyo Binti. Kwani ina maana gani hasa
Duh! Hivyo yawezekana ni Free Masonry wananitafuta maana hiyo namba nimeishatumiwa bali nilikuwa nasubiri tarehe 31/2/2019 Boom liingie nimtumie mrembo!!!Jicho (single eye) haliwezi kuwakilisha bint mrembo. Urembo wa mtu ni sura kwa ujumla wake.
Kwenye mambo ya imani, jicho ni alama inayotumiwa na free masonry na kwa kitaa, jicho haliandikiki mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
badoo au kuna kwingine tenaMimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.
Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?
Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahahahNISHAFANYA NA BADO NAFANYA LAKINI KWA MALAYA TU,NAINGIA BAR HASWA ZILE ZENYE GESTI KWENYE MACHANGU,NACHAGUA TOTO ZURI LINALOLIPA NA WENGI WAO UZURI KICHWANI NI ZERO.KWA MFANO LAST WEEK NILIPIGA SINZA DEMU ZURI KWELI LIKANIPA HADI TIGO KWA KUJITUMA SANA...NINACHOFANYA NALIITA NAKAA NAYE MEZANI NAAGIZA BIA SIO ZAIDI YA SH 10,000 KWAKE NA KWANGU YAANI BIA KAMA NANE HIVI,TUNAINGIA CHUMBANI,KUANZIA NINAPOLIPIA BILI YA BIA NA RECEPTION NATOA HELA KWENYE POCHI LILILONONA ILA SASAAAAA...HILO POCHI LIMEJAA MANOTI YA BURUNDI, KWACHA ZA ZAMANI ZA ZAMBIA MANOTI YA CENTRAL AFRICAN REPUBLIC NA YA ZIMBABWE, USINIULIZE NAYATOA WAPI NINAYO MENGI TUNASINDIKIZIA NA 5000 YA KIBONGO,HADI HAPO DEMU IMANI IPO MAANA AKILI YAKE NI KUIBA HILO POCHI,TUKIINGIA CHUMBANI AKIANZA KUDAI HELA MBELE NAJIFANYA SIJASIKIA NAWEKA LILE POCHI MEZANI,SIJAWAHI FELI HATA SIKU MOJA,HAPO UNAPEWA MAUNO HADI BASI NIKIJISIKIA KURIDHIKA NAJIFANYA KAMA NAMUOMBA TULALE KIDOGO TUTAENDELEA,AFTER 20 MINUTES NAJIFANYA KUKOROMA YEYE ATAKACHOFANYA NI KUNYATA NA KUIBA POCHI NA KUKIMBIA NA POCHI LILONONA,LAST WEEK TU NIMEFANIKISHA HII ILA MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUTANA NA MSOMI AATAKAYESTUKIA YALE MANOTI NI TAKATAKA
Mkuu kesi ni sensitive kidogo na anashtakiwa na jamhuri siyo mtu binafsi hivyo kupata RB no. ni inshu. Nasikia jamaa kakutwa na vifaa vya kijeshi.Ukinipa RB no au jina lake naweza kufuatilia
Jr[emoji769]
Kuna utaperi mwingininge inalazima..kwani njaa kibiko.nakumbuka mwaka1998 niliwa safari kuelekea mikoa LINDI NA MTWARA kwenye Mishe zangu za biashara.nilipo fika pale RUFIJI pantoni limealibika,ikalazima watu kukaa kwa siku kazaa,kilicho nikuta sikua na namna,nikaaza utapeli.
Asubuhi,sijakunya chai,sina ela nimeishiwa na njaa bado. hakuna dalili za kuondoka Leo wala kesho,nikaona hapa mtoto wa mjini nashikishwa ukuta.nikaona isiwe shida liwalo na liwe.nikazunguka kwenye vibana ghara namuona mjusi kafiri,nikaua,nikamchukua,nikaweka kwenye karatasi vizuri,nikaingia mgahawani,nikaagiza wali samaki plat mbili,nikazipiga fast a,mwishoni nikaweka yule mjusi kwenye sahani,kwa ujasiri nikamuita muhudum nikamuonyesha,aisee yule dada alistuka,na nikamuambia naenda kuita polisi.matokea yake sikulipa na aliniomba nisitoe siri.na akaniahidi niwe nakula pale bure mpaka siku ya kuondoka.DAAAH UKIZALIWA NJINI UFI NJAA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe kukutana na ma alwatan wa pwani...Jamaa Auza Ghorofa Lisilolake Kkoo kwa Milioni 400Tsh.
Ilikuwaje?
Jamaa ni kutoka Manzese Sokoni, mti pesa.
Jamaa alikuwa kila siku jamani nauza ghorofa langu kariakoo...nauza ghorofa langu kkoo...ikawa kama wimbo.
Kumbe jamaa kajipanga kweli kuuza "ghorofa lake" kkoo...
Sasa kumbe kuna ghorofa moja kalilenga pale kkoo chini kuna garage. Ikawa anaenda pale garage na kusalimia na wakati mwingine anatoa offer kwa vijana wa garage...ya mihogo na soda...hali ikaendelea kwa miezi kama sita mpaka mafundi na saidia fund wote wakamzoea pale chini.
Mara akawa siku nyingine anapanda ghorofa, anapandisha ngazi mpaka juu sasa flow za chini hujui anaenda kwa nani kule juu na huwezi kumuuliza wakati ashakuwa alwatan pale...mara siku kaja na watu akapanda nao mpaka juu kbsaa flow ya tatu. Kumbe wale aliyekuja nao mmoja ni tajiri kalengwa toka Arusha aje apigwe Dar.
Kingi aliyoingizwa jamaa ni kuwa jamaa anataka kuuza ana kesi na anauzia kwa mwanasheria wake. Basi tajiri akaliona ghorofa...akalikagua mpaka akalidhika kisha wakaenda kwa mwanasheria wake ofisini. Malipo yakafanyika ofisini huku tajiri anapigwa na kiyoyozi hahaa...
Akatoka na document sake akaenda zake hotelini. Kesho asubui anaenda ghorofani kwake kuwapa notisi wapangaje wake wapya hahaaaa...hapo ndo jamaa akaishiwa nguvu. Akaambiwa mbona wenyewe wapo flow ya kwanza...jamaa akatoa document zake za mauziano...hola...akawai ofisini kwa mwanasheria hola...wala hawajulikani popote ila frame ilikodishwa miezi kama mitatu nyuma kwa misheni moja tu ya kuuza ghorofa kkoo...yule tajiri akawauliza mafundi garage kuwa mbona tulikuja naye hapa na mkapiga naye story sana. Wakamwambia huwa anakuja marakwamara na kutupa offer hapa hivyo tunamuitaga bosi.
Jamaa akapigwa kwa style hiyo.
Sasa alivyofanikisha hilo akarudi pale kijiweni akawaambia si niliwaambia nuaza ghorofa langu kkoo? Sasa nshauza anayekunywa anywe ebwana zilinyweka bia hapo si mchezo...asubui jamaa hakuonekana mpka leo.
Nb
Utapeli huu umetokea miaka kadhaa nyuma.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
[emoji3][emoji3]Halafu chamotr[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Jr[emoji769]
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.
Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?
Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
nirudishe vipi sasa na wakati mtu mwenye alivyorudi safari tukawa mabest mpaka leo plus hana shida ya hela kama laki ndio maana alimezea tu. kurudisha hela ni dhambi
[emoji23][emoji23][emoji23]utapeli wa kilokoleNshawatapeli wazungu flani pale Dodoma sijui ndo area D, walikua madogo mascout kutoka Belgium wanataka kupanda simba hill. mtoto wa Dar nkakubali kuchukia kazi kwa malipo ya Dollar ishirini kila mmoja km entrance fees, usafiri Dollar 50, na lunch box Dolla 10 hapo bado hawajanilipa mimi.
Tatizo linaanza baada ya kuuliza sana kwa wenyeji nikapata mjanja mmoja akanambia hapo simba hill kwa chini sio mbali na makazi ya Muheshimiwa Prime so itakua sio rahisi km unavyodhania. nikachekecha mimi sio guide sijawahi somea uguide, sina ata leseni ya uguide nkipanda hapo juu na wageni manjangu wakanishika me ni nani na nafanya nini itakua tatizo na huku wageni wanajua jamaa ni profesional guide.
Ilibidi me na mjanja mmoja wa kondoa ambae tulikua nae hapo Dom tukauze vimilima vingine ambavyo vyote tulisema ni simba hill, hapo zamani simba walikua wanapenda kukaa hapo juu kwenye hayo mawe ndomana pakaitwa ivyo.
tulisikia wanasema this view is breathtaking. tukajua hapa hadi tip tunapewa matapeli. kazi ilienda vizuri wakapata na picha za sunset tukapata mawe yakwenda kuweka heshima bar na watoto wazuri.View attachment 1029611
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa hauna ata madhara kwa aliyetapeliwa karidhika kabisa na service.[emoji23][emoji23][emoji23]utapeli wa kilokole
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23]niliwahi kufanya biashara ya maiti... Nikapeleka maiti feki usiku wa manane eneo la tukio nikalipwa changu nikasepa kufika home nimelipwa pesa feki[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]Kabisa hauna ata madhara kwa aliyetapeliwa karidhika kabisa na service.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]niliwahi kufanya biashara ya maiti... Nikapeleka maiti feki usiku wa manane eneo la tukio nikalipwa changu nikasepa kufika home nimelipwa pesa feki[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Unaonaje ujaribu kunitapel na mm??..