Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

UTAPELI WA CLUB

ilikuwa tabia yangu na marafiki zangu kutapeli wanaume pale club 7 ya kibo complex
Mwanamme anakufata unacheza anakununulia bia unakunywaa weee anazani baadae mtaondoka wotee
Basi unamtambulisha na rafiki yako mnakunywa bia za bureee mkishalewa mmepombeka vya kutosha mnabonyezana mm namwambia rafiki yangu ngoja nikakojoe huko huko natorokea napanda lift huyo naenda kujipanza kule kwenye parking ambayo ni chombingo letu la kukutana

Na rafiki yangu anasema oooh ngoja nikamtafute G mbna harudi hebu tusubirie hapo kwenye meza tumeacha savvana zipo nusu mwanamme anajua bado tupo tupo.

Baada ya muda mwanamme anakuja kushtuka ameshatorokwa mudaa na sisi hao home.

Club tunanunua savvana moja tu zingine tunatapeli na kutoroka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UTAPELI WA CLUB

ilikuwa tabia yangu na marafiki zangu kutapeli wanaume pale club 7 ya kibo complex
Mwanamme anakufata unacheza anakununulia bia unakunywaa weee anazani baadae mtaondoka wotee
Basi unamtambulisha na rafiki yako mnakunywa bia za bureee mkishalewa mmepombeka vya kutosha mnabonyezana mm namwambia rafiki yangu ngoja nikakojoe huko huko natorokea napanda lift huyo naenda kujipanza kule kwenye parking ambayo ni chombingo letu la kukutana

Na rafiki yangu anasema oooh ngoja nikamtafute G mbna harudi hebu tusubirie hapo kwenye meza tumeacha savvana zipo nusu mwanamme anajua bado tupo tupo.

Baada ya muda mwanamme anakuja kushtuka ameshatorokwa mudaa na sisi hao home.

Club tunanunua savvana moja tu zingine tunatapeli na kutoroka.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] Ila kuna wakati wanawake wanatia hasira unatamani umfanyie kitu kibaya... Kuna binti mmoja, tumemaliza yetu, akadai nimsindikize... Mara kasahau kibanio cha nywele ndani nimpe funguo arudie.... Kesho yake asubuhi nagundua Perfume haipo... Perfume yenyewe Paco Rabbane..halaf kipindi hicho niko hovyo financially,, Hasira zilikua tani 5..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Aaaah we ni kiboko yao aisee lakini siku zako zinahesabika. Kuna siku utajilaumu kwanini ulianza tabia ya kutapeli. Alfu huyo boss wako mshamba anaonekana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Elimu yako form four ya division 4
2. Ulisoma certificate flani
3. Unaishi kwa wazazi
4. Huna kazi
5. Wewe si tapeli ni mdangaji.na huwa kweli unaomba pesa ili ujikimu coz you rent working.

Pia kuwa tapeli inabidi uwe na akili. You are not. Why keep in lying to yourself?😂😂😂

Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁😁😁

Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka, akampa namba ya siri ili cm ikpt chaji amtolee laki, akapewa alizoomba akaondoka, dada wa m pesa akaendelea kuchaji huku akimsbr, sbr jamaa hakuonekana, dada akaamua kuichunguza cm maana haikuwa na dalili ya kuchaji kumbe ilikuwa ni kopo kwenye betr aliweka kicherema cha sabuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi hi hi hi......😂😂😂 Hii kali sana ....

Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
 
Ili uwe tapeli mzuri inabidi uwe na
1. Akili
2. Exposure
3. Uzuri (kama ni mwanamke)
4. Kauwezo kidogo au mtaji
5. Ufahamu mzuri wa lugha hasa english


Hapa unaweza kuwa tapeli wa maana.siyo kutoroka na tsh 50,000 au 100,000 huu sisi huwa tunaita ni upigaji mjusi.

Ukiwa na sifa kadhaa kati ya nilizotaja utapeli utakulipa na uta move from hatua moja to nyingine na si kuja kutafuta madanga humu au kusumbua watu. Mimi nmewahi tapeli mil 29 sababu ya akili kwa kampuni moja ya simu ambayo hawakutaka iwe kashfa sababu wangepoteza wateja.

Katika hizo mil 29 nliwarudishia mil 4 na wakashukuru huku wakinipa pole kwa kupata ajali ambayo gari nlitengeneza kwa mil 1.7 nikawa na faida ya mil 23. Haikuwa pesa nyingi sana lakini nlipenda jinsi nlivyocheza huo mchezo na nlifanya kitu. Hiyo pesa nlinunua viwanja sehemu kadhaa dar.

So msiharibu sifa ya utapeli kabisa hii ni taaluma kama taaluma nyingine na inahitaji sana akili.achaneni na ule ujinga wa zile pesa nitumie kwenye namba hii... Au sijui kukimbia na pesa za wanaume ndogo ndogo... Huo ni udangaji. Ndo maana nikasema unatakiwa uwe na akili.

Unaweza ukawa uliishia form four lakini una akili ya ziada.una exposure n.k hilo ni sawa lakini kinyume na hapo unakuwa mdangaji tu kwa mwanamke na kibaka kwa mwanaume.

Ukiwa na akili unaweza piga
1. Nyoka
2. Mamba
3. Chatu

Wale wadangaji wanaoibia wanaume vijicent huwa wanapiga mijusi au kenge... Kuna mianaume mikenge inapigwa haisikii mpaka itoe damu masikioni.
 
Unahangaika sana na maisha yangu wanaonijua wanakucheka tu mbwa koko wewe
1. Elimu yako form four ya division 4
2. Ulisoma certificate flani
3. Unaishi kwa wazazi
4. Huna kazi
5. Wewe si tapeli ni mdangaji.na huwa kweli unaomba pesa ili ujikimu coz you rent working.

Pia kuwa tapeli inabidi uwe na akili. You are not. Why keep in lying to yourself?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahhahaha pole
[emoji23] Ila kuna wakati wanawake wanatia hasira unatamani umfanyie kitu kibaya... Kuna binti mmoja, tumemaliza yetu, akadai nimsindikize... Mara kasahau kibanio cha nywele ndani nimpe funguo arudie.... Kesho yake asubuhi nagundua Perfume haipo... Perfume yenyewe Paco Rabbane..halaf kipindi hicho niko hovyo financially,, Hasira zilikua tani 5..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Umetisha mdada
 
Ili uwe tapeli mzuri inabidi uwe na
1. Akili
2. Exposure
3. Uzuri (kama ni mwanamke)
4. Kauwezo kidogo au mtaji
5. Ufahamu mzuri wa lugha hasa english


Hapa unaweza kuwa tapeli wa maana.siyo kutoroka na tsh 50,000 au 100,000 huu sisi huwa tunaita ni upigaji mjusi.

Ukiwa na sifa kadhaa kati ya nilizotaja utapeli utakulipa na uta move from hatua moja to nyingine na si kuja kutafuta madanga humu au kusumbua watu. Mimi nmewahi tapeli mil 29 sababu ya akili kwa kampuni moja ya simu ambayo hawakutaka iwe kashfa sababu wangepoteza wateja.

Katika hizo mil 29 nliwarudishia mil 4 na wakashukuru huku wakinipa pole kwa kupata ajali ambayo gari nlitengeneza kwa mil 1.7 nikawa na faida ya mil 23. Haikuwa pesa nyingi sana lakini nlipenda jinsi nlivyocheza huo mchezo na nlifanya kitu. Hiyo pesa nlinunua viwanja sehemu kadhaa dar.

So msiharibu sifa ya utapeli kabisa hii ni taaluma kama taaluma nyingine na inahitaji sana akili.achaneni na ule ujinga wa zile pesa nitumie kwenye namba hii... Au sijui kukimbia na pesa za wanaume ndogo ndogo... Huo ni udangaji. Ndo maana nikasema unatakiwa uwe na akili.

Unaweza ukawa uliishia form four lakini una akili ya ziada.una exposure n.k hilo ni sawa lakini kinyume na hapo unakuwa mdangaji tu kwa mwanamke na kibaka kwa mwanaume.

Ukiwa na akili unaweza piga
1. Nyoka
2. Mamba
3. Chatu

Wale wadangaji wanaoibia wanaume vijicent huwa wanapiga mijusi au kenge... Kuna mianaume mikenge inapigwa haisikii mpaka itoe damu masikioni.
Mkuu hebu ielezee hyo ya mil 29 naona kama vile iko vzr [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

komando kinjekitile ngwale
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
Al watan Mshana Jr [emoji13] [emoji39] [emoji39] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natamani kuelezea ila sasa humu ndani hatufahamian wanaweza wakawepo wabaya wangu wakanichunguza upya...??????

huwa nataman sana nisimulie issue ilivyokuwa but....

ngoja niangalie nifanyeje maanaa inabidi niwasiliane na mshkaji mwanansheria kwanza anipe angalizo.

Mkuu hebu ielezee hyo ya mil 29 naona kama vile iko vzr [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

komando kinjekitile ngwale
 
Kuna jamaa yangu kipindi hicho ndiyo kaja Dar, bado mgeni mgeni. Sasa akaenda Kariakoo day moja hivi...

Jioni jioni kakuta machinga wamepanga nguo (t-shirts) chini, wanauza. Zimefungwa kwenye makaratasi yale ya upya upya. Sasa jamaa yangu huyu ikabidi aulize kuwa wanauza kiasi gani?

Akaambiwa kila tisheti pale ni elfu 5. Si akaona bei ya kutapa na nguo ni classic. Akajaa, akazinunua 3 za elfu kumi na 5....akijua kwa bei ile amewapiga wao.

Bwana bwana...ile amefika home kaanza kutusimulia kuwa amenunua nguo nzuri kwa bei rahisi kweli. Ile kuzifungua....ha ha ha ha....ni yale ma tisheti makuuubwa oversize ya mitumba. Yamechoka mbaya, na ukilivaa unakuwa kama kituko flani.

Ikabidi moja tuligeuze dekio, moja kanyagio la mlangoni. Ha ha ha....mjini shule, tena shule hasa.
 
Kuna jamaa yangu kipindi hicho ndiyo kaja Dar, bado mgeni mgeni. Sasa akaenda Kariakoo day moja hivi...

Jioni jioni kakuta machinga wamepanga nguo (t-shirts) chini, wanauza. Zimefungwa kwenye makaratasi yale ya upya upya. Sasa jamaa yangu huyu ikabidi aulize kuwa wanauza kiasi gani?

Akaambiwa kila tisheti pale ni elfu 5. Si akaona bei ya kutapa na nguo ni classic. Akajaa, akazinunua 3 za elfu kumi na 5....akijua kwa bei ile amewapiga wao.

Bwana bwana...ile amefika home kaanza kutusimulia kuwa amenunua nguo nzuri kwa bei rahisi kweli. Ile kuzifungua....ha ha ha ha....ni yale ma tisheti makuuubwa oversize ya mitumba. Yamechoka mbaya, na ukilivaa unakuwa kama kituko flani.

Ikabidi moja tuligeuze dekio, moja kanyagio la mlangoni. Ha ha ha....mjini shule, tena shule hasa.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom