Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Hiyo miiko ni karibia kwa dawa zote za kigoma.
 
Huyo mjinga alie komaa na jina la diwani uko juu si muachane nae tu thread nzima imejaa diwani diwani ata kama ni story za kutunga kikubwa siku iende.kuamini au kutoa kuamini iyo ni kazi ya msomaji
 
Kuanzia hiyo Kalya mpaka Kapalamsenga ni ngumu kuipata,miaka ya 2000 mwanzoni nilisikia labda maeneo ya Mwese ila napo ni kubahatisha
Shida kuu ni miiko yake inakinzana sana na hii modern Life hivyo kufanya hata waganga waogope kuitoa
Nenda ikola huko vidono na vinkuti ni Kijiji kizima
 
Mazishi umeyahakiki vipi?

Ulimpima huyu marehemu kafa?

Ulifuatilia "chain of custody" ya huo mwili wa marehemu tangu hapo?

Unaelewa hata "chain of custody" ni nini?

Hiyo habari uliyoileta kwa nini tukubali hata wewe unasema ukweli? unaweza kuthibitisha ilitokea kweli?

Huyo mtu jina lake nani? Habari ilitokea wapi? Lini? Alipimwa na daktari nani na kuhakikiwa kafariki? Mbona habari hii haikujulikana?
 
Mimi - Lugano Mwaitako Mwasapumbu.

Mama - Atu Paulo Mwakifengo.
Unaona sasa majina ya kusadikika

Unadhani Mimi siwajui wanyakyusa nimekaa unyakyusani sana nawajua nje ndani majina yao nikilisoma tu nalijui

Hakuna mnyakyusa anaitwa mwaitako wala mwasapumbu

Kama yupo nithibitishie

Hii ni kiashiria kuwa unaogopa [emoji1787][emoji1787]unawaogopa wachawi na uchawi wao

Taja majina yako halisi hapa na ya mama yako watu wamalize kazi huko huko uliko haina haja[emoji1787][emoji1787][emoji3577]
 

Nashukuru Mh waziri alisikia kilio changu cha kuongeza tozo kwa hii mitanganyika inayoamini bila kufikiri kabisa. Kwa viwango hivi vya uzwazwa ni lazima watu walipie tozo ujinga wao.
 
Duu noma sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…