Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 879
- 652
Itabidi niende zangu Kongo.Kuanzia hiyo Kalya mpaka Kapalamsenga ni ngumu kuipata,miaka ya 2000 mwanzoni nilisikia labda maeneo ya Mwese ila napo ni kubahatisha
Shida kuu ni miiko yake inakinzana sana na hii modern Life hivyo kufanya hata waganga waogope kuitoa
Hiyo miiko ni karibia kwa dawa zote za kigoma.Ipo miiko mingi kutofautina na mganga na kizimba alichochanganyia dawa yake mwiko maarufu sana ni kuacha kutiana porini na kutiana na ke ambae yupo kwenye siku zake,
Kwangu nilikalia kinu na kula mboga zenye asili ya kamba ikawa nimedhoofisha kinga
iende zangu Kongo
Mbona umeishupalia sana 😁😁😁Kuna Nini haswaaItabidi niende zangu Kongo.
Au broo twende woteMbona umeishupalia sana 😁😁😁Kuna Nini haswaa
Itabidi uende uelekeo wa Congo ya karemii
Nenda ikola huko vidono na vinkuti ni Kijiji kizimaKuanzia hiyo Kalya mpaka Kapalamsenga ni ngumu kuipata,miaka ya 2000 mwanzoni nilisikia labda maeneo ya Mwese ila napo ni kubahatisha
Shida kuu ni miiko yake inakinzana sana na hii modern Life hivyo kufanya hata waganga waogope kuitoa
Mazishi umeyahakiki vipi?Au, tukimchukua babu wa babu wa babu wa babu yako aliyezaliwa miaka zaidi ya 140 iliyopita, ukamleta leo aone watu wanavyowasiliana kwa simu, ataona kama uchawi, wakati si uchawi, ni teknolojia tu ambayo hajaijua.
Kiranga nilikuwa sijawahi kushiriki mazishi ambayo baada ya miezi miwili marehemu akatolewa na waganga dukani kwa Kaka yake .KUMBE NI TEKNOLOJIA TU AMBAYO SIJAIJUA nilidhani ni uchawi.
Unaona sasa majina ya kusadikikaMimi - Lugano Mwaitako Mwasapumbu.
Mama - Atu Paulo Mwakifengo.
Sababu JPM kasema ndo niamini? Story yake inatofauti gani na story ya kusadikika aliyoleta huyu bwana hapa. Sio JPM huyo huyo aliyewaambia hakuna corona na kugomea chanjo afu ikamuondoa yeye mwenyewe?
Kuhusu kaburi la Kiyeyeu Isimila Iringa ukweli ni huu: Survey ya kwanza ya kupitisha nyaya za umeme eneo hilo ilifanyika bila kuzingatia uwepo wa makaburi hayo ya familia ya Kiyeyeu. Nguzo zilipofikishwa hapo ikaonekana kuwa nyaya za umeme itabidi zipite juu ya makaburi hayo, hivyo yakaibuka masuala ya FIDIA KWA FAMILIA YA KIYEYEU NA KUHAMISHA YALE MAKABURI. Kwa kuwa mradi ulikwisha anza, wenye mradi wakaamua kuyakwepa makaburi hayo ili kutatua matatizo hayo mawili niliyoyataja. Hilo watu hawakuambiwa hali ambayo imeelekea kuleta tafsiri potofu kama inavyoenezwa!
Aidha 2010 TANROADS ilifukua na kulitupilia mbali huko na hamna kitu kilitokea. Link hii hapa:
WALIOFUKUA KABURI LA KIYEUYEU IRINGA WAILILIA TANRODS
SIKU chache baada ya kung’olewa kwa kaburi la kihistoria la Martine Kiyeyeu na mengine 21 ya ukoo huo, Kitongoji cha Isimila, Kijiji cha ...richard-mwaikenda.blogspot.com
Tatizo lenu kila mnachoambiwa nyie mnaamini tu kama minyumbu hamtumii bongo zenu kabisa kufikiri, kichwa sio kwaajili ya kufuga nywele tu nyie midanganyika tumieni akili.
Mwisho, wasaidie wenzio kutaja jina la huyo Diwani ambalo hata mleta uzi mwenyewe halijui ila nyie midanganyika mnaamini nikutumie muamala 500k taslim TSH.
Mh Mwigulu Nchemba kwa kiwango hiki cha ujinga wanachoonyesha hawa wadanganyika kwenye jukwaa la great thinkers natoa rai kuwe na tozo ya uzwazwa. Hawa watu ni empty set kabisa inabidi walipie ujinga wao.
Wote wapangajiMlikuwa wote wapangaji au yeye ni mwenye nyumba?
Mtegemee YESU
Duu noma sana aiseeKuna Mmama mmoja aliua Mtoto wa jirani
Yaan hao majiran walikua na ugonv, sasa mtoto wa jiran X akiwa anacheza nawenzake mpira, mpira ukaenda kwa nyumba ya jiran Y, alivyoufata tu..akakauka palepale na kufa
Familia X wakaamua kulipiza kisasi.. Yule mama Y, siku anakufa, Alikua anazaa watoto wanageuka kua watu wazima wale wote alowaua, kisha wanayeyuka
Alikufa kwa mateso sanaaa