Visa vyangu vya mapenzi: Harakati za kusaka mume

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Nani kaelewa hiliTangazo...?
Mimi sijaelewa kwa mara yakwanza naomba unieeleweshe my dear japo kidogo . Maana ukweli ni huu mengi ni uongo na ukweli anataka mume sasa akisema anahela si atapata wengi mario
 
Mimi sijaelewa kwa mara yakwanza naomba unieeleweshe my dear japo kidogo . Maana ukweli ni huu mengi ni uongo na ukweli anataka mume sasa akisema anahela si atapata wengi mario
Kwanini nidanganye, nimeweka statement ya niko vizuri ili uweze kukaa katika viatu vyangu! Sababu sio uongo…. Sina mpango wa kupata mtu humu ila ninapenda kujua mawazo ya wengi kuhusu β€˜dating’ ndani ya bongo.. Sijagoma kwenda sababu sina hela, nimegoma sababu sikupanga kwenda na sijaelewa kabisa hii situation huyo kaka alioniweka
 


Nina experience na wanawake Kama wewe wa 5, you just raise your hand and give up, hamuwezi ishi na mwanaume, keep your strength and finances!
 
Wewe unatakaje tuanzie hapo
 
Nina experience na wanawake Kama wewe wa 5, you just raise your hand and give up, hamuwezi ishi na mwanaume, keep your strength and finances!
Huna experience na mimi. Hunijui na hujawahi experience a financially stable woman na ukamuacha. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kwa maelezo yako nakushauri tafuta kiben ten (marioo) vinginevyo sioni ndoa hapo
 
 
Tafuta wafanyabiashara wenzio wa hapo kariakoo, distance utaiweza mama? afu huyo jamaa kwa story uliyotoa hamuendani, yeye ana mtazamo wa kimagharibi, wewe mwafrika mweusi typical
Umeniwahi na hii comment.

Bi. Dada alihisi keshayatoa maisha kupata mmarekani na mmarekani kajua kapata mmarekani mwenzie independent.
 
Huna experience na mimi. Hunijui na hujawahi experience a financially stable woman na ukamuacha. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Mkogo hivi wote, watu wa hovyo Kabisa, Hakuna mtu financial stable ana kuja kupiga kelele huku Jamii forum na kutangaza ujinga Kama huu, mtakutana na watu mnaofanana nao!

Yanga Bingwa - Hu ndo mfano wa maneno ya mtu Mwenye pesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…