Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kua muwazi kwake kua unapenda na unataka kuhudumiwa na huo unaoita umagharibi huutaki.Akili ya kimagharibi unamwita mwanamke kwa gharama yake? Na we ndo una shida nae?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kua muwazi kwake kua unapenda na unataka kuhudumiwa na huo unaoita umagharibi huutaki.Akili ya kimagharibi unamwita mwanamke kwa gharama yake? Na we ndo una shida nae?
Cc; LamomyNguo na nguo za ndani, Chupi china ni senti 50 hadi senti 20 za kimarekani, huku tunauza kwa elfu 15,000 moja hadi elfu 5. Ni biashara nzuri ijaribu. Ukinunua nusu contena hukosi million 80- 50 hizo ni chupi elfu 10,000 tu. Wewe endelea kunicheka
Usiwaze mkuuAkili ya kimagharibi unamwita mwanamke kwa gharama yake? Na we ndo una shida nae?
Anakutumiaga hata hela world remit au msumbufu tu na ma video call yakeShooo hili nalo neno nimepokea mikono miwili🤣
Nimeshuka chini kutafuta comment ya namna hii, maana ningeikosa huu uzi ungekua batili😆😆😆
Imeniuma !Atume hela ya ndege tuile kwanza
Halafu atume nyingine ndo uende 🤣
🤣🤣🤣Anakutumiaga hata hela world remit au msumbufu tu na ma video call yake
Hajawahi tuma chochote na sijawahi muomba. So suala la kuitwa na kujitolea nauli limenikwaza sana, hujawahi gharamia chochote mkutano wa kwanza hutaki kugharamia? Kwasababu nina pesa nitumie zangu? Na ebo si ni watu wazima hatuendi kuosha viazi ukoAnakutumiaga hata hela world remit au msumbufu tu na ma video call yake
Hatakiwi kuombwa ajiongeze tu kwamba huyu ni mwanamke wangu Ana mahitaji yakeHajawahi tuma chochote na sijawahi muomba. So suala la kuitwa na kujitolea nauli limenikwaza sana, hujawahi gharamia chochote mkutano wa kwanza hutaki kugharamia? Kwasababu nina pesa nitumie zangu? Na ebo si ni watu wazima hatuendi kuosha viazi uko
Kikojoleo ndo nini shemeji 😀🤣🤣🤣
Na kikojoleo hupati mwisho wa siku.