Visungura mtaani na k vant vinamaliza vijana!

Visungura mtaani na k vant vinamaliza vijana!

Hata ps za mtaani pia zimepelekea vijana wengi kukatisha masomo
Suala la PLay station.

Kuna kipindi zilipaswa kufunguliwa kuanzia saa10 ni kama pool table.

Lakini PS asubuhi unakuta tayar sasahiv zimefunguliwa na watoto unawakuta humo wakicheza na wengine wakiwa na uniform.

Suala zima lipo hivi mkuu.

Kuna kipindi pale chanika magenge polisi walikuwa wanakuja kukamata wale play station master na kuwapeleka kituoni sababu ajafata muda uliowekwa saa10.

Lakini wakifika kituoni muhusika anatoa pesa anarudi kufungua biashara yake.

Suala zima bado ni umaskini na tamaa ya rushwa mamlaka husika kushindwa kusimamia
 
Naweza kuwalaumu madogo ila kwa upande wa kwetu huku wauzaji n wauwaji wa kwanza kuwaua hawa vijana

Kuna mama ana hela ana pub kama 3..anachofanya anachukua kvant anachanganya na sunguraa baadae anaanza kuvijaza kwenye chupa zake

Vingine akiona wameshaanza kuropoka kulewa makelelee anachukua vizima sunguraa anaenda navyo kama sita ndani anavichanganya na gongo.....

anavirudishia kama vilivyo..ndugu mpaka sasa wakinywa kwake hakuna anaetoka salama..

hii mbinu nilipeewa na mfanyakaziwake mdada mmoja

Na ndio maana kampuniya smart gin wanatangazakila sikuwameongeza utambulisho kwenye chupa zao usinywe kama huoni sijui X y z

Sasa ukilewa wanakuletea kishafunguliwa unamimina unaponaje

Hukoo ubungo kimara usiseme....

hii vita n ngumu ndefu
 
Unywaji wa pombe kupitiliza ni hatari kwa afya yako!

Msiishie tu kutushia walevi bn Kuna mda zikitimia unarudisha namba Kwa muumba, usiku wa mwaka mpya Kuna dogo wa NIT alikua anaogelea yakamshinda ndo hvo RIP
 
Acha wajinga wapungue.. sas mtu aneshindwa ku determine risk za hizo pombe huyo mtu HANA faida ktk mambo mengine pia.

So kupungua kwake kuna faida ktk hili taifa kuliko uwepo wake.

Wapungue ili tugawane keki ya taifa vizuri.
 
NaweA kuwalauku madogo ila kwa upande wa kwetu huku wauzaji n wauwaji wa kwanza kuwaua hawa vijana

Kuna mama ana hela ana pub kama 3..anachofanya anachukua kvant anachanganya na sunguraa baadae anaanza kuvijaza kwenye chupa zake

Vingine akiona wameshaanza kuropoka kulewa makefile anachukua vizima sunburn anaenda navyo kama sita anavichanganya na gongo.....

anavirudishia kama vilivyo..ndugu mpaka sasa wakinywa kwake hakuna anaeroka salama..hii mbinu nilipeewa na mfanyakaziwake mdada mmoja

Na ndio maana kampuniya smart gin wanatangazakila sikuwameongeza utambulisho kwenye chupa zao usinywe kama huoni sijui X y z

Sasa ukilewa wanakuletea kushafunguliwa unamimina

hii vita n ngumu ndefu
Aseee!!

Mimi huwa naongea sana na washkaji,

MIAKa ya nyuma wale waliokuwa wanauza gongo walikuwa wanakamatwa na polisi wanawekwa selo. Kumbe walikuwa hawalipi kodi.

Hii nchi ukiwa na pesa tu unaweza fanya jambo lolote hata kama madhara yake ni hatari kwa raia wake.

Wanasema gongo ilikuwa inaunguza, vipi hizi smart alcohol 45%
 
Back
Top Bottom