NaweA kuwalauku madogo ila kwa upande wa kwetu huku wauzaji n wauwaji wa kwanza kuwaua hawa vijana
Kuna mama ana hela ana pub kama 3..anachofanya anachukua kvant anachanganya na sunguraa baadae anaanza kuvijaza kwenye chupa zake
Vingine akiona wameshaanza kuropoka kulewa makefile anachukua vizima sunburn anaenda navyo kama sita anavichanganya na gongo.....
anavirudishia kama vilivyo..ndugu mpaka sasa wakinywa kwake hakuna anaeroka salama..hii mbinu nilipeewa na mfanyakaziwake mdada mmoja
Na ndio maana kampuniya smart gin wanatangazakila sikuwameongeza utambulisho kwenye chupa zao usinywe kama huoni sijui X y z
Sasa ukilewa wanakuletea kushafunguliwa unamimina
hii vita n ngumu ndefu