Visungura mtaani na k vant vinamaliza vijana!

Visungura mtaani na k vant vinamaliza vijana!

Mkuu,

Nilisikia kipindi cha madubu kuwekwq sehemu za starehe kama club lakini mpaka sasa bado madubwi ya wachina yapo mtaani.

Na waathirika ni watoto wa shule, ambapo kiuhalisia hawana pesa zaidi ya kupewa na wazazi na wanapokosa pesa lazima watafute namna ya kuiba.

Watoto wengi wanaanza wizi na kushindwa kumaliza shule.

Hata hilo nale serikali imeshindwa kulisimamia.
Kwani watoto zao wanacheza hayo
Madubwi kwanza wala hawayajui

Ova
 
kjna shehewangu mmoja pale magomeni rip alikuwa akiitisha kikao wenzie wanapewa chupa za soda ye analetewa ccokezakopo zimedukuliwa

akipiga pafu kadhaa n mwendo wa vichekesho tupu wakauliza shehe mbona we waletewa za kopo sie chupa akawambia hamwezi kufanana bana viongozi lazime watofautishwe na waimarishweeeeee

mashehee wakacheka sana wakiwaza uimara upi haahaaa hivivitu muulize mzee wa Riverside mmerekodi weewee kaishia kusifiaaa vyombo kanisani
Hatareee baraaaaaa.......

juzi mwanangu kalamba mkipaimara kutest damp ya bwana wee kaja daddy mmh hii si dompo unayokunywaga kwan vip daughter. Daddy chachu nkauliza umetema hapana tumemeza woteeee
😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆
 
Kwenye hili sasa serikali itafanya nini, kupiga marufuku hizo pombe au kushauri vijana kunywa kiasi?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkuu huwezi kukataza watu wasinywe lakini mimi binafsi sijawahi kuona faida yoyote zaidi ya kijana kuzidi kupotea.


Nilisema too much is harmful, serikali hii haiwezi katakaza sababu wanajali pesa zaidi.

Kuna bro wangu mmoja sahiv ni bodaboda wa posta alikuwa anatumiaga sana.

Huyu bro mtaani nilipokulia kipindi nipo mdogo alishanichapa, lakini akawa ananiona naenda kusalimia wazazi safi.

Siku moja nikajisikia kuongea naye na amenizidi kiumri sana.

Nikamuambia kaka Mimi nakuheshimu sana lakini hizi pombe unazokunywa mpaka sasa na umri unazidi kwenda zimekupa faida gani? Kama huna kipato na nguvu huna utapata wapi hizi pesa?

Yule bro niliongea nae akaniambia mdogo wangu sijawahi kuambiwa haya maneno mimi naahidi kuacha.

Nilimsaidia bro kupata mkataba wa pikipiki sababu wengi hawakumumini na process za kupata Leseni.

Mpaka Leo bro ananishukuru, nafikiri vijana wanahitaji uhamasishaji zaidi.

Lakini kama utajaribu kufanya hivi bado utaumizwa tu sababu ni biashara za wakubwa.
 
Mfumo ndy unataka hivyo
Vijana waconcerntrate kwenye mitungi,miziki+starehe +mipira

Wakati wenzenu na familiaaa zao wanasongaaa

Ova
Wala sio mfumo ni malezi na kujitambua tu,mbona wengine wanakunywa wanalewa lakini hawatukani wala kusumbua watu
 
dubwi linaasaidia mtoto ajue mahesabu
2.ajue jinsi ya kulinda hela zake
3.ajue anaibiwaje pale anaposhinda 10000 wanampa 7000...
Daaah yale madude tusidanganyane yanKuwaga na gprs huwezi iba na wanaweza kulichezesha kuvutia mwanzo kwanza
Ndio maana huwezi kununua dubwi likawa lako wachina ni wajanja sana🤣🤣

Ujinga wetu ni mtaji wao
 
Back
Top Bottom