Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
si watoto tuh pia vijana wanakimbiza sana hiyo midoliHata ps za mtaani pia zimepelekea vijana wengi kukatisha masomo
Suala la PLay station.Hata ps za mtaani pia zimepelekea vijana wengi kukatisha masomo
basi sawa...😂😂 si kwa ubaya ila mlevi ni mpumbavu sana walah
Tena sio kidogo.😂 si kwa ubaya ila mlevi ni mpumbavu sana walah
Kua na adabu dogo.mlevi ni mtu mjinga sana walah
wajinga sana!Tena sio kidogo.
Na kama hautumii wanakuona mshamba sana.
nidhamu ni jambo la bure nduguKua na adabu dogo.
Si ajabu bao lako lilitoka mshua akiwa kawaka na safari.
Aseee!!NaweA kuwalauku madogo ila kwa upande wa kwetu huku wauzaji n wauwaji wa kwanza kuwaua hawa vijana
Kuna mama ana hela ana pub kama 3..anachofanya anachukua kvant anachanganya na sunguraa baadae anaanza kuvijaza kwenye chupa zake
Vingine akiona wameshaanza kuropoka kulewa makefile anachukua vizima sunburn anaenda navyo kama sita anavichanganya na gongo.....
anavirudishia kama vilivyo..ndugu mpaka sasa wakinywa kwake hakuna anaeroka salama..hii mbinu nilipeewa na mfanyakaziwake mdada mmoja
Na ndio maana kampuniya smart gin wanatangazakila sikuwameongeza utambulisho kwenye chupa zao usinywe kama huoni sijui X y z
Sasa ukilewa wanakuletea kushafunguliwa unamimina
hii vita n ngumu ndefu
Utahisi wanaenda kununua benkwajinga sana!
ukikuta wanapeana mpango wa pesa wakiwa wamelewa utahisi hapa kuna watu kesho sasa eti hawakumbuki kitu jinga sana hawa jamaa
ndio mana familia za baniani na wahindi wafanya biashara ukiwa mlevi tuh wanakutenga kama ukomaUtahisi wanaenda kununua benk