Vita dhidi ya CEO Barbara: Jina liliondolewa na nani alipochaguliwa na CAF kwenye kamati?

Vita dhidi ya CEO Barbara: Jina liliondolewa na nani alipochaguliwa na CAF kwenye kamati?

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
unakumbuka awamu iliyopita Mr Membe alipokuwa anatakiwa ale shavu la ukatibu mkuu jumuiya ya madola jina likaondolewa na host country yaani wakubwa wa awamu ya tano?

Basi hayo yamejitokeza kwenye soccer ,kama unadhani walimsamehe Barbara Gonzalez kwa kuidindia ile deal ya kitapeli ya kuilazimisha simba ivae logo ya GSM kwamilioni 3 kwa mwezi basi think again ndugu yangu, they are out there to get her

Simba waliandika barua ya kumalalamikia SOPE ALBINO comments zake haswa ile post ya ajabu kabisa kabla ya mechi na Asec mimosah ambayo Sope alijistukia akaifuta...simba waliandika malalamiko tarehe 17 april TFF wakapiga kimya tarahe 25 utopolo wakaandika malalamiko yao kuhusu interview south africa

weeks mbili zilizopita zikavuka tetesi kwamba kuna kikao kimefanyika nyumbani kwa mtu wakipanga kumfungia Barbara miaka 10 kama kawaida TFF wakakanusha..sasa bila shaka wanenda kutimiza lengo lao ili kuwafurahisha watoa milions 3 wanaolazimisha simba avae nembo yao kwa kupitia mlango wa nyuma

Hii ni original list ya CAF ikiwa imemchagua CEO kwenye kamati ya club licencing jina liko namba 10 ,kama kawaida unajua kilichotokea:




barbara.PNG
 
Mkuu mimi naomba kueleweshwa.

Kama original list imetoka CAF imemchagua CEO kwenye kamati ya club licencing ina maana hiyo document ni mali ya CAF na siyo mali TFF, sasa inakuaje TFF wawe na nguvu kuliko CAF hadi waiondoe hilo jina?
 
Hili Tangazo halifuti kamwe aibu nchi iliyopata South Afrika kwa wajinga wachache walioenda kwa waganga matapeli na kupewa dawa za uongo na kudanganywa wakati wanafanya ushirikina huo hakuna mtu atakayewaona hata kamera haziwezi kuwaona lakini kilichotokea kimeishangaza dunia na tunaonekana wato local sana
 
Mkuu mimi naomba kueleweshwa.

Kama original list imetoka CAF imemchagua CEO kwenye kamati ya club licencing ina maana hiyo document ni mali ya CAF na siyo mali TFF, sasa inakuaje TFF wawe na nguvu kuliko CAF hadi waiondoe hilo jina?
Wavuta bangi wa humu usiwachukulie serious, hawana tofauti na wapiga porojo kwenye mataputapu.
 
Hili Tangazo halifuti kamwe aibu nchi iliyopata South Afrika kwa wajinga wachache walioenda kwa waganga matapeli na kupewa dawa za uongo na kudanganywa wakati wanafanya ushirikina huo hakuna mtu atakayewaona hata kamera haziwezi kuwaona lakini kilichotokea kimeishangaza dunia na tunaonekana wato local sana
hilo unaloongelea lina mada zake humu jikite kwenye hi mada ndugu
 
Hili Tangazo halifuti kamwe aibu nchi iliyopata South Afrika kwa wajinga wachache walioenda kwa waganga matapeli na kupewa dawa za uongo na kudanganywa wakati wanafanya ushirikina huo hakuna mtu atakayewaona hata kamera haziwezi kuwaona lakini kilichotokea kimeishangaza dunia na tunaonekana wato local sana
Recommendation ya CAF je nchi husika ikisema haimtaki haina imani naye? we unahisi nini kiko nyuma ya yeye jina lake kutolewa? unadhani ile deal ya kitapeli ya kuilazimisha simba kuvaa nembo la ajabuajabu kwa milioni 62 kwa miaka miwili lilivyokataliwa na yule dada SOCCER MAFIA walifurahia?
 
Recommendation ya CAF je nchi husika ikisema haimtaki haina imani naye? we unahisi nini kiko nyuma ya yeye jina lake kutolewa? unadhani ile deal ya kitapeli ya kuilazimisha simba kuvaa nembo la ajabuajabu kwa milioni 62 kwa miaka miwili lilivyokataliwa na yule dada SOCCER MAFIA walifurahia?
Huyo Barbara ni raia wa nchi gani?
 
Back
Top Bottom