Vita dhidi ya CEO Barbara: Jina liliondolewa na nani alipochaguliwa na CAF kwenye kamati?

Vita dhidi ya CEO Barbara: Jina liliondolewa na nani alipochaguliwa na CAF kwenye kamati?

Karia na kitambi chake kala hela ya GSM hajui atairudisha vipi hivyo anamchukia huyo mwanamama kwa kukwamisha deal

Hivyo atapigwa kila aina ya zengwe...

Karia kageuka kua chawa wa GSM anafanya kila kitu wanachotaka

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Karia anamalizia mda wake aende maana hata yeye suala la uraia aliwapa waandishi mlungula wasiliandike naona kajisahau yaani msomali anatukosesha amani nchini kwetu.
 
Manara anapenda ligi na anagubu sana na huyu dada tangu kile kipinfi anaondoka simba nmhakufurahia kabisa kumuona barbra akiwin ile battle

Sasa kayaibua mapya kwa mgongo mwingine ila sababu ni ile ile, huyu jamaa anaweza kui cost club yake kwa maswala yake binafsi.

Ujue ile post aliyofuta ilikuwa na sumu kali sana ambayo kama TFF wangekuwa makini basi ile ilikuwa ni sehemu nzuri ya wao kumuwajibisha

Lakini kwasababu TFF ina operate kwa kufata meza yenye bia nyingi basi imejikuta ikiwahukumu watu kutoka clubs nyingine ambao hawana nguvu ya kuiyumbisha

Hili swala likisipofanyika kwa haki chini ya TFF naamini litafika mbali kabisa na hapo ndipo uozo wa TFF utakapo reveal.
 
Manara anapenda ligi na anagubu sana na huyu dada tangu kile kipinfi anaondoka simba nmhakufurahia kabisa kumuona barbra akiwin ile battle

Sasa kayaibua mapya kwa mgongo mwingine ila sababu ni ile ile, huyu jamaa anaweza kui cost club yake kwa maswala yake binafsi.

Ujue ile post aliyofuta ilikuwa na sumu kali sana ambayo kama TFF wangekuwa makini basi ile ilikuwa ni sehemu nzuri ya wao kumuwajibisha

Lakini kwasababu TFF ina operate kwa kufata meza yenye bia nyingi basi imejikuta ikiwahukumu watu kutoka clubs nyingine ambao hawana nguvu ya kuiyumbisha

Hili swala likisipofanyika kwa haki chini ya TFF naamini litafika mbali kabisa na hapo ndipo uozo wa TFF utakapo reveal.
Katika pages za mashabiki wa orlando pirates wali comment kwamba kocha wa Jwaneng galaxy anasema simba wanatoa kafara za binadamu ili washinde..jiulize hayo maneno yanatoka wapi maana hata kwenye ile post kwa Asec Mimosaha SOPE ALBINO aliandika hayohayo
 
Katika pages za mashabiki wa orlando pirates wali comment kwamba kocha wa Jwaneng galaxy anasema simba wanatoa kafara za binadamu ili washinde..jiulize hayo maneno yanatoka wapi maana hata kwenye ile post kwa Asec Mimosaha SOPE ALBINO aliandika hayohayo
Pia hawa orlando ndio waligomea kupita mlango rasmi kuingia uwanjani

Waliambiwa na nanj kama sio usnitch wa yule zungu?

Halafu akibanwa utaskia ni utani at the same time anawaparua wengine kwa madai ya kusema wanam attack personally
 
Pia hawa orlando ndio waligomea kupita mlango rasmi kuingia uwanjani

Waliambiwa na nanj kama sio usnitch wa yule zungu?

Halafu akibanwa utaskia ni utani at the same time anawaparua wengine kwa madai ya kusema wanam attack personally
Hadi leo malalamiko ya orlando hayana maana walijazwa upepo sana ndiyo maana walikuja na panick kubwa sana ikabidi kusingizia msafara ulikuwa na rider mmoja, albino na senzo na yanga wanahusika asilimiz mia moja, senzo kafanya kazi orlando na ni shabiki wa hiyo team
Hao jamaa libya walizimiwa taa kabisa lakini kwa kuwa walishinda yule kocha aksema wali treatiwa vizuri...utopolo kwa hii miaka 4 wamesambaza sumu kali sana michezo ya CAf ujinga wa simba ulikuwa ni kunyamaza kimya wakijua mijamaa itajistukia kumbe li team limejengwa kwa misingi ya propaganda na majungu
 
Wavuta bangi wa humu usiwachukulie serious, hawana tofauti na wapiga porojo kwenye mataputapu.
We jamaa kwenye kila mada comment zako huwa ni za kuhara tu, hujawahi kujadili hoja zaidi ya personal attacks.

Zamani nilikuwa nakufahamu kama mchambaji maarufu kule cerebrity forums, sikuhizi umegeukia michezo na siasa, basi tabu tupu.
 
Recommendation ya CAF je nchi husika ikisema haimtaki haina imani naye? we unahisi nini kiko nyuma ya yeye jina lake kutolewa? unadhani ile deal ya kitapeli ya kuilazimisha simba kuvaa nembo la ajabuajabu kwa milioni 62 kwa miaka miwili lilivyokataliwa na yule dada SOCCER MAFIA walifurahia?
Baadae caf waligundua kigalula ni kiongozi wa wachawi sio kiongozi wa Mpira.
 
Mkuu mimi naomba kueleweshwa.

Kama original list imetoka CAF imemchagua CEO kwenye kamati ya club licencing ina maana hiyo document ni mali ya CAF na siyo mali TFF, sasa inakuaje TFF wawe na nguvu kuliko CAF hadi waiondoe hilo jina?
Unapoteza muda wako bure hapa kwa huyu jobless.
 
Manara anapenda ligi na anagubu sana na huyu dada tangu kile kipinfi anaondoka simba nmhakufurahia kabisa kumuona barbra akiwin ile battle

Sasa kayaibua mapya kwa mgongo mwingine ila sababu ni ile ile, huyu jamaa anaweza kui cost club yake kwa maswala yake binafsi.

Ujue ile post aliyofuta ilikuwa na sumu kali sana ambayo kama TFF wangekuwa makini basi ile ilikuwa ni sehemu nzuri ya wao kumuwajibisha

Lakini kwasababu TFF ina operate kwa kufata meza yenye bia nyingi basi imejikuta ikiwahukumu watu kutoka clubs nyingine ambao hawana nguvu ya kuiyumbisha

Hili swala likisipofanyika kwa haki chini ya TFF naamini litafika mbali kabisa na hapo ndipo uozo wa TFF utakapo reveal.
Yani mkuu kwa ulivyo 'bright' huwezi amini kama klabu unayoshabikia imetozwa mamilioni kwa ushirikina uwanjani.
 
Kwenye suala la sheria simba nawaaminia maana yanga akili zipo msoga na kwa babaake manara tu wengine wote wehu tu weupe kwenye sheria.
Na kwenye uchawi pia unawaaminia, usisahau na hilo.
 
GENTAMYCINE njoo toa ufafanuzi
Ufafanuzi ni kwamba TFF inataka Kubalansi katika kutoa Adhabu kwani anayetakiwa Kuadhibiwa ni Manara ila wanaogopa Yanga SC watalalamika hivyo wanataka Kumfungia na Barbara ( Babra ) ili kukwepa lawama. Hawatafungiwa ila watapigwa tu Faini na kupewa Onyo Kali.
 
Back
Top Bottom