Vita dhidi ya CEO Barbara: Jina liliondolewa na nani alipochaguliwa na CAF kwenye kamati?

Na kwenye uchawi pia unawaaminia, usisahau na hilo.
Hivi kuna team inaroga bongo kushinda yanga juma shabani alikuwa anaroga uwanjani kabisa na tff imekaaa kimya tatizo la simba wameamua kukaa kimya kwa yote wanayofanyiwa ila malalamishi fc mlitaka kwenda kwa raisi kweli yanga wenye akili ni wawili tu.
 
Jamani Geita fc nipigie Hawa Kolowizard fc na kitu kizito kesho ili tumalize kazi yetu J3. Na Jmosi ijayo type kabisa
 
Kuna timu imepigwa hadi fine kwa ulozi [emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…