wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kumbuka mleta mada ni shabiki wa chadema, na kama ujuavyo hawa ndugu zetu walivyo vichwani mwao.Utadhani watoto wadogo wa chekechea!’
Kumbuka mleta mada ni shabiki wa chadema, na kama ujuavyo hawa ndugu zetu walivyo vichwani mwao.
Yani hapo point kubwa kwenye mada yake hii ni ili wakusanye waanze kumtukana yule mtu wao wanaemwitaga jiwe.
Tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaoombewa huanguka nchini na kugalagala jsmbo ambalo husababisha wahudumiwe kwa kubebwa hivyo husababisha mgusano wa ngozi na wengine hutapika.Umesahau na mashehe wanaokusanya watu ili kuwapatia utajiri na Mambo mengine, hao vipi hawahitaji kukemewa?
Huko hawathubutu kwani hawatakuwa na muda wa kupanga mikakati.Mi Niltegemea Ndo Wakati Wa Wale Wanaojifanya Wabobezi Wa Maombezi Kutamalaki Hata Kwa Kumtembelea Mgonjwa Kumpiga Pawa Huko.
Umesahau na mashehe wanaokusanya watu ili kuwapatia utajiri na Mambo mengine, hao vipi hawahitaji kukemewa?
Wasalie nyumbani
ufunge mipaka tayari unaye ndani ya mipaka?Tusifanye mambo kwa fasheni eti kwa kuwa na wengine wanafanya eti na sisi tufanye.
Kikubwa sasa hivi ni kufunga mipaka wageni wasiingie nchini, na watanzania wanaorudi wawekwe karantini siku 14.
na tuwasake waliocontact wenye kirusi tuwaweke kwenye karantini
Mambo mengine tuwaelimishe zaidi wananchi wachukue tahadhari wao wenyewe badala ya kutumia maguvu.
Huyo anayelilia jeshi liingie mtaani hajui athari ya jeshi kuchukua doria mitaani
Jeshi liingie kama last resort kutegemea na severity ya situation, siyo unaingiza Jeshi kwa kulimiss kuona action zake. Utaumia shauri yako, Jeshi siyo kitu cha kuombea kukiona kikiendesha operesheni mitaani
Hapo watu watakuwa wanadunjuana (Zinaa zitashamiri )Ndugu ndio anaweza akawa na mambukizi.
Tunaweza kuahirisha harusi kwa mwaka mmoja
Vitasa ni hatarVitu vingine ni vya kufikirika japokua vingine sijui ulikua serious ama?