Mpagani wewe!
Mvumilie penye msafara wa mamba kenge nao wamo.
Walisubiria chadema watangaze mikutano watafute sababu ya kuzuiaHivi Kigogo alipotoa taarifa na kushauri mlisemaje?
Nikumbushe ile salamu ya SiloamSiloam washasema wameifuta Corona kwenye uso wa dunia
Huo ustaarabu huku haupo ndugu, usijifanye Umesahau Maisha ya ulikotokaKwa nini wenye daladala wasijaze wao wenyewe?
Lazima washikiwe bakora??
Muda si mrefu nimetoka kuongea na muumini ametokea kwenye maombi anasema Mungu atawalinda. Wao hawana cha kuhofu kabisa. Sijui serikai imejipangaje kukabiliana na watu wenye imani kali kama hawa.Muda umefika kwa serikali kusitisha makundi ya maombezi kama ilivyositisha makundi mengine, makundi haya huambatana na watu kuanguka na kugalagala chini vinginevyo hao manabii na mitume watakusanya watu ili kuwaponya na kuwakinga na Corona.
Ndo maana Ulaya Wamefanya Total Lockdown...kila kitu kimefungiwa, hapa hatuwezi?Vya kufunga ni vingi MBONA nyomi ni kila sehemu hakuepukiki,kuona wagonjwa mahospitalini,kwenye vivuko,masokoni,nyumba za ibada
Huo ustaarabu huku haupo ndugu, usijifanye Umesahau Maisha ya ulikotoka
Ndugu, marafiki na wanafamilia hawawezi kuacha kuhudhuria kwenye harusi ya mtu wao wa karibu, je huuoni ulazima wa watu hao kukusanyika?Harusi ni mkusanyiko usio wa lazima kwa sababu hakuna sehemu inakutaka uhudhurie harusi kwa namna yoyote ile.
Yale mapagani tunaanza kuyajua sasaKama wenzetu Rwanda kupiga marufuku mikusanyiko yote katika nyumba za ibada makanisani na misikitini ...........
Tena itapendeza viongozi wa dini wakiungana na serikali yetu kuzuia mikusanyiko katika kipindi hiki chote cha sitofahamu ya ugojwa huu wa corona kama wenzetu wa rwanda
Kama swala la kuabudu kila mmoja abudu nyumbani kwake hivyo
Nawakilisha hoja kwa serikali na viongozi wa dini kuhusu hili swala
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu na marafiki wataweza kukuacha uzikwe na manispaa ukifa na Corona.Ndugu, marafiki na wanafamilia hawawezi kuacha kuhudhuria kwenye harusi ya mtu wao wa karibu, je huuoni ulazima wa watu hao kukusanyika?