Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Hali ikiwa mbaya hatuna chakula tunakufa kufa tutaingia kitaa na tutawatoa kwa nguvu hatutaongope risasi.
Kwa sababu wanafanya mzaha hii corona itawatoa madarakani wewe waache tu
Magufuli anakbiimbilia chato . Yani mindege yake tutaiuza mchana kweupe tununue mahindi tugawane
Waziri wa uvhukuzi naibu wake aliropoka kabisa kuwa hawatafunga mipaka.Trafiki polisi wasimamie kila daladala kuwa na sensitizer na maji na sabuni abiria wanawe mikono kabla ya kuingia na kutoka. Aidha abiria wapewe gloves wavae mikononi.
Vilevile Waziri wa Usafirishaji ajiuzuru hafanyi lolote wakati daladala zinajaza abiria, hawazi, hasemi lolote, hawajibiki.
Stupid arseheadUnabwabwaja nini kenge weee! Mxiuuuuh!
Duh, ndege hazikupaswa kuendelea kuruka, walipoWaziri wa uvhukuzi naibu wake aliropoka kabisa kuwa hawatafunga mipaka.
Huyu alaaniwe kabisa. Wangefunga isabela angepitaje kiurahisi?
Huyu alaaniwe tena na tena
Mkuu sanduku la kura bila tume huru ni kazi bure. Wataiba tu.Haya yote yanatakiwa kwenye sanduku la kura, sasa watanzania walivyo ma-poyoyo yapo huo ushetu yanaimba bomberdier , sasa hiyo bomberdier na sgr iwatibu corona
Ndio.Duh, ndege hazikupaswa kuendelea kuruka
Njia ya msalaba ni sehemu ya kwaresma. Au ndio unataka unafuu wa kutokwenda njia ya msalaba na kufunga? Vipi kuhusu kusali jumuiya na jumapili?8. KWARESMA NA NJIA YA MSALABA IPIGWE MARUFUKU
Kwani kuhusu usafiri wa umma unatakaje? Serikali imnunulie kila mwananchi usafiri wake au?
Kwa hiyo vijiwe vya kahawa kwenye maeneo mengine viwe wazi tu?15. CCM LUMUMBA vile vijiwe vya kahawa vifungwe vyote
Wakifa nani ataangalia hao watoto wao waliopona kwa kufunga shule?I think the first step is to take precautions of or kids below 18.
Nyie wazee mna akili zenu bananeni huko wee kwenye mapantoni na madaladala ila mkirudi majumbani moja kwa moja kuoga na sabuni yenye sanitation.
Kwanza mmezeeka hata mkifa Taifa halina hasara sana...ha ha ha
vingine vina watu wachache lakini vya pale lumumba vinabeba jobless wengi sana na kundi kubwa la vijana wajulikanao kama "MATAGA 110%" na wengine wanajiita 'CCM MPYA' wanakaa eneo la Mandi hotel huku wakilipwa buku 7 kwa siku kuchafua mitandaoni, walipwe huko nyumbani , hapa najumuisha na kina CYPRIAN MUSIBAKwa hiyo vijiwe vya kahawa kwenye maeneo mengine viwe wazi tu?
mtajua nipo serious itapotangazwa kuwa corona ipo dar toka mwishoni mwa february, keep my words, utarudi hapa. Ummy mwalimu na aliye mteua ni maadui wa taifa hili.Vitu vingine ni vya kufikirika japokua vingine sijui ulikua serious ama?