Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Who are you...??Tunawaomba Wakuu wa mikoa na wilaya kusitisha mikusanyiko ya harusi katika maeneo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who are you...??Tunawaomba Wakuu wa mikoa na wilaya kusitisha mikusanyiko ya harusi katika maeneo yao
Nitoe pongezi zangu kwa Wizara ya Afya na Serikali ya Tanzania kwa jinsi ambavyo wanaendelea na Mapambano ili kuwakinga Watanzania dhidi ya Corona.
Wasiwasi wangu ni Wataalamu wa Afya hasa Madaktari na Wauguzi wengi huenda wakatumia loopholes ya kutozuia likizo wakaomba Likizo wakapewa huko Vituoni na kutuacha tukitaabika bila msaada na kuwarejesha kazini itakuwa gharama mara mbili. Hivyo kwa busara Mhe.Waziri ungehairisha likizo zao kwa miezi kadhaa ili kadhia hiii ipite.
Ni mtazamo wa kizalendo tuu maana huenda Wataalamu wasio na Uzalendo washaanza Excuse kibao hukoooo ili kujilinda.