Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Hali ikiwa mbaya hatuna chakula tunakufa kufa tutaingia kitaa na tutawatoa kwa nguvu hatutaongope risasi.
Kwa sababu wanafanya mzaha hii corona itawatoa madarakani wewe waache tu
Magufuli anakbiimbilia chato . Yani mindege yake tutaiuza mchana kweupe tununue mahindi tugawane
Haya yote yanatakiwa kwenye sanduku la kura, sasa watanzania walivyo ma-poyoyo yapo huo ushetu yanaimba bomberdier , sasa hiyo bomberdier na sgr iwatibu corona