Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Watu hawapo tayari kusaidia mtu kwenye mambo ya msingi. Wata pretend kukusaidia kwenye yale wanajua hayana maana ila ukiwa na real problem ndio utaona pretense yao ikijidhihirisha.Daah hii kitu nliwahi ishuhudia kwenye moja ya whatsap group nliyyokuwepo... kulikua na harusi watu walitiririkaa michango.
Siku nyingne kuna ndugu aliomba wamsaidie ada ya mwanae, na kweli alikua na shida hahaa watu wachache sana wakatoa, sjui kwanini tuna hii tamaduni jaman. Tubadilike kwakwel
Eeh ndo shida ilipo hapoWatu hawapo tayari kusaidia mtu kwenye mambo ya msingi. Wata pretend kukusaidia kwenye yale wanajua hayana maana ila ukiwa na real problem ndio utaona pretense yao ikijidhihirisha.
Wangeweka wazi sasa kuliko kutosema chochoteUtaratibu unaotumikaga wanafunzi wakiwa wamefunga wapaswa kutumika na sasa ili ratiba ziende sambamba.
Hapo sasa!
Nimestushwa kusikia Taasisi kadhaa za Umma wakiwemo watumishi wa OR-TAMISEMI NA wizara nyingine wakiendelea na vikao katika maeneo kadhaaa morogoro.
Uzuri ni kwamba makanisa mfano katoliki wameshaweka taratibu za kufuatwa kipindi hiki cha corona.NAKWEDE,
Suala la kusitisha kabisa Misa zote za wiki na Jumapili, linapaswa kuangaliwa kwa umakini Mkubwa. Ni kweli, ukitumia Logic ya kawaida, katika kipindi hiki ambacho wataalam wa afya wanatuasa kuepuka mikusanyiko mikubwa, waweza sema, Misa kama sehemu ya Kusanyiko, nazo zatakiwa kusimamishwa. Lakin kumbuka, Wakati huu ambako watu Wana Wasiwasi/hofu/mashaka juu ya maisha yao, Ni Wakati ambao kama Kanisa lililo chanzo Cha Matumaini na Faraja kwa watu, linapaswa kukaa karibu zaidi na waamini na wote wenye uhitaji.
Na kwa kuwa huku kwetu, coverage ya Internet Ni ndogo, ndio kusema, Kanisa likianzisha program za Televised Masses, Ni waamini wachache watakaofikiwa na huduma hiyo. Wengi watabaki wapweke, bila tumaini mithili ya walivyokuwa Mitume wa Yesu mara baada ya Yesu kuuawa. Pia, wako waamini ambao Wakati huu wanahitaji huduma ya Kitubio kuliko Wakati mwingine, huduma ya Ushirika wa Bwana.
Hivyo, kama Kanisa likienda kichwa kichwa kuimpose baadhi ya Mambo, laweza kujikuta katika Wakati mgumu pindi maisha yatakavyorud kawaida, kwani Waamini wengi wanaweza kuachana na Kanisa kwa sababu Kanisa nalo liliwatelekeza Wakati walipokuwa wakilihitaji zaidi.
Sasa hivi kubwa ni kujikabidhi kwa Mungu mambo mengi hayakwepeki kwa mfumo wa maisha yetu watanzaniaSoko hili Lina mkisanyiko mkubwa sana wa watu kuliko hata uwanja wa taifa, Serikali itupie jicho kufanya jitihada za kupunguza population eneo hilo,
Inawezekana yakatafutwa maeneo mengine wafanya biashara wakapelekwa sehemu mbalimbali na biashara zitafanyika tu kuliko watu wote kukusanyika kariakoo peke yake.
Tupambane na Corona kiukweli, Corona inaambukiza kwa njia za majimaji, na kwa joto la dar muda mwingi watu wanavuja jasho, sasa atokee mtu ana Corona pale kariakoo(mtaa wa Congo), atawaambukiza watu wangapi kwa siku, na hao watakaoambukiza watakaoambukiza wangapi?
#Corona ni hatari #
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Mapungufu makubwa katika Elimu afya inayotolewa kwa jamii juu ya COVID-19. Huenda Ni matokeo ya kila mtu kuwa mtaalamu wa afya. Inasikitisha kuona Kuna watu mnaamini kuwa ugonjwa huu, unaweza kuambukiza kwa jasho. Ndugu Bin Chuma Ugonjwa unaosababishwa na virus vya Corona hauambukizi kwa kila majimaji yatokayo mwilini Bali maji maji yenye viini vya Corona( Infected air droplets) yanayotoka kwenye mgumo wa upumuaji hasa pale mtu anapopiga chafya.Soko hili Lina mkisanyiko mkubwa sana wa watu kuliko hata uwanja wa taifa, Serikali itupie jicho kufanya jitihada za kupunguza population eneo hilo,
Inawezekana yakatafutwa maeneo mengine wafanya biashara wakapelekwa sehemu mbalimbali na biashara zitafanyika tu kuliko watu wote kukusanyika kariakoo peke yake.
Tupambane na Corona kiukweli, Corona inaambukiza kwa njia za majimaji, na kwa joto la dar muda mwingi watu wanavuja jasho, sasa atokee mtu ana Corona pale kariakoo(mtaa wa Congo), atawaambukiza watu wangapi kwa siku, na hao watakaoambukiza watakaoambukiza wangapi?
#Corona ni hatari #
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kujikabidhi kwa mungu lakini serikali ina jukumu kubwa kuhakikisha watu wake wanakuwa salama kama walivyozuia mkisanyiko mingine, basi wafanye jitihada za kupunguza watu maeneo ya kariakoo.Kuna Mapungufu makubwa katika Elimu afya inayotolewa kwa jamii juu ya COVID-19. Huenda Ni matokeo ya kila mtu kuwa mtaalamu wa afya. Inasikitisha kuona Kuna watu mnaamini kuwa ugonjwa huu, unaweza kuambukiza kwa jasho. Ndugu Bin Chuma Ugonjwa unaosababishwa na virus vya Corona hauambukizi kwa kila majimaji yatokayo mwilini Bali maji maji yenye viini vya Corona( Infected air droplets) yanayotoka kwenye mgumo wa upumuaji hasa pale mtu anapopiga chafya.
Tujifunze kwa wenzetu. Mfano Obama alipoulizwa kuhusu Corona, aliwashauri Wamarekani wazingatie ushauri unaotolewa na WATAALAMU wa afya hasa WHO na CDC.
Jurgen Klopp, Wakati flani aliulizwa kutoa comments zake kuhusu Corona, alijibu kuwa, yeye ni layman, Hana anachoweza kusema zaidi akashauri watu wazingatie ushauri wa wataalam wa afya.
Na sisi tunaweza kujifunza kwa Hawa wenzetu, Kwan kujifunza sio vibaya. Kinyume chake tukiruhusu kila mtu aongee yake, tutasababisha taharuki na hofu kubwa katika jamii. Mambo mengine yatasimama kabla ya Muda wake.