Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa zaidi

Wamesha chelewa sana maana wana cdm wanazidi kujizolea wafuasi tangu ile hukumu na wakafanya kosa tena la kuwavunja vunja kina mama.

Hayo matukio ni zaidi ya kufanya mikutano ya kisiasa maana cdm sasa imejizolea wafuasi kibao

In God we Trust
Kaamua kuwaacha watu waambukizane kwa wingi ili mwezi ujao wagonjwa wawe wengi wapate sababu ya kuzuia mikutano ya chadema ambao wameapa kufanya mikutano ya siasa ambayo ni haki yao kisheria
 
Tell these nut guys from CCM to read screenshots below. We shall all perish like fools as the Bible says. Stop applauding everything from your bosses

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Umeona hata Zimbabwe watu wameambiwa wasiende kwenye nyumba za ibada, waliokaidi wamepigwa viboko. Tatizo la Tanzania, wajinga ni wengi kuliko werevu.
Le mutuz kampa jamaa taarifa kuwa kapata siri toka kwa Daud Bashite kuwa lengo la CCM kutowazua Wachina wazungu wageni wote ni kutaka wagonjwa wawe wengi hapo Nchini ili CCM ipate sababu ya kuzuia mikutano ya chadema na pia kufuta uchaguzi mpaka mwakani
 
Hopeless comment!
 
Hopeless comment!
Wewe mwenyewe mwehu hujitambui inawezaje kujua hopeless commet? si mpaka uache kuvuta bang hapo gheto kwa le mutuz ndipo fahamu zitakurejea
 
Reactions: UCD
Post hii ningekua nauwezo ningewapa watu wote waione, even if they are not jf members
 
CCM mnataka corona isambae kwa nguvu ili mpate kisingizio cha kukwepa uchaguzi October
Nyinyi uchaguzi hamuwezi shinda watz walishawakataa siku nyingi sanasana mtakimbia kwa kisingizio cha kitoto cha Tume Huru.
 
Hoja mfu sana hii,papa ndo nani,nakwanini asikilizwe yeye na si rais Magufuli au madaktari tulokuwa nao nchini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeelewa lakini?Raia wetu namba moja leo akiwa kanisan kasema tusitishane watu wafanyew shughuli zao huu upepo unapita mpaka sasa tuna waathirika sita tu na hamna kifo.
Baadae ndio akaja na hotuba nyingine ya kujaribu ku contain damage

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kutishana na huyu shetani corona naye atapita tu!
 
Kweli wewe ni minyoo siyo bure!
Wewe mbweha uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho ndiyo Tatizo la kuishi gheto kwa le mutuz kuvuta Bangi kwa Akili zako finyu unajiona umetoa tusi? U-Ugonjwa C-corona D-dhahiri hii ndiyo tafasiri ya kweli na kirefu cha jina lako la kifala UCD kubali ukatae watanzania siyo wajinga kama nyinyi watetezi vilaza wa CCM humu mitandaoni, watanzania wanajua mbinu zote za kuwadhoofisha chadema kwa kila hali
 
Tushamstukia sasa hivi kwa wapinzani ni kujilinda na corona bila kufuatisha matamko ya wana ccm na huko makanisani hakuna haja ya kwenda kabisa na misikitini
Kaamua kuwaacha watu waambukizane kwa wingi ili mwezi ujao wagonjwa wawe wengi wapate sababu ya kuzuia mikutano ya chadema ambao wameapa kufanya mikutano ya siasa ambayo ni haki yao kisheria

In God we Trust
 
Reactions: UCD
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…