Minyoo!Minyoo na Ugonjwa Corona Dhahiri UCD ni kipi hatari kwa sasa? wewe ni mwehu kwani mimi na wewe hutafanani kwa hoja na ndiyo maana nimekupa kirefu cha jina lako pengine kwa ufala wako hukuwa unajua kirefu cha UCD ni Ugonjwa corona dhahiri, sasa Ugonjwa umekuingia kichwani umeacha hoja na kuleta vurugu lakini kubali ukatae lengo lenu tumewashitukia mapema
Dr.Pope FrancisHoja mfu sana hii,papa ndo nani,nakwanini asikilizwe yeye na si rais Magufuli au madaktari tulokuwa nao nchini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wenzangu. Tumieni maarifa. Ujinga utatumaliza.
Epuka mikusanyiko yote. Kwa hivi sasa ugonjwa unasambaa. Siyo kwamba ni tatizo dogo. Tatizo ni kubwa mno na vurusi vipo nchini ila kwa sasa tunaambukizana. Patakuwa hapatoshi.
Tuache ujinga. Epuka mikusanyiko hata ya kwenye ibada. Kule Italy hata pope ameagiza tusali majumbani kwetu na maungamo tujifanyie wenyewe. Huyo ndo kiongozi wa kanisa na hapo alipo ndipo alipozikwa Paulo na Petro. Sikiliza wataalam, siyo Rais Magufuli.
Nani huzipima hapa JF na majibu yanapatikanaje?Nataka ya kwangu kujua.JF inasaidia kujua IQ za watanzania wenzetu. Tanzania ina wajinga wengi kuliko werevu na JF ni shahidi wa hilo
U-Ugonjwa C-corona D- dhahiri wewe mbweha ulikuwa ujui kirefu cha jina lako sasa corona umeingia kichwani hutaki kujenga Hoja umebakia kuleta vurugu humu uwatoe watu kwenye madaMinyoo!
DPP na yeye aombewe aacha kuwabambikia wapinzani kesiKama ungelijua umuhimu wa ibada wala usingelithubutu kuwaza kuzuiliwa mikusanyiko ya Ibada. Ngoja nikupe lecture kidogo tu, Corona virus ni Tauni,au pigo ambalo Mungu ameachilia juu ya dunia kwa ajili ya uovu. na kila pigo hukomeshwa na toba na maombi yanayotokana na kusanyiko linalotubu mbele za Mungu. Corona hamalizwi na wataalamu, la sivyo China na nchi za ulimwengu wa kwanza wangeshaimaliza muda mrefu. hili ni pigo ndio maana yanahitajika maombi ya toba. Kwa hiyo Rais yupo sahihi kabisa kutaka watu wamuombe Mungu, siyo kuzuia Ibada.
Acha vitisho mkuu,kwanza.ndefu.sana,halafu "KUWAFUNGULIA NINI VIONGOZi" huo umoja wa Mataifa?????WATANZANI TUEPUKE UJINGA
Tuzuie mikusanyiko wenyewe
Watumishi Makanisa Misikiti nyumba zote za Ibada mmeona kilichotokea Italy Iran South Korea IBADA zimewafanya wengi kuambukizwa
Umoja wa Mataifa utakuja kuwafungulia viongozi wengi duniani kwa kuwapotosha watu wao wakaangamia kama nzige
Russia nako kiongozi wao ana fikra potofu sasa kuna Doctor amerudi toka Italy mgonjwa sana kabla ya kuanza kuugua amefanya vikao amekutana na watu wengi hofu iliyopo sasa watu wengi wataanza kuugua itakuwa Italy imehamia Russia. Amefunguliwa mashtaka yupo hoi kitandani akipatikana na hatia miaka mitano au zaidi jela inamhusu
Huku kwetu tunaambiwa twende kanisani misikitini kuabudu na kuomba shetani corona atoweke!
Are serious na maisha ya watu kweli
Tuna kiongozi sijui mtawala aliyekosa uelewa sijui atatambua hatari hii lini?
Wazazi wetu wakipoteza maisha kwa sababu ya Corona ' we will sue you'
Sawa Minyoo!U-Ugonjwa C-corona D- dhahiri wewe mbweha ulikuwa ujui kirefu cha jina lako sasa corona umeingia kichwani hutaki kujenga Hoja umebakia kuleta vurugu humu uwatoe watu kwenye mada
Wewe umebambikiziwa lini Minyoo?DPP na yeye aombewe aacha kuwabambikia wapinzani kesi
Sasa nakupuuza najikita kwenye hoja za msingi nakuacha mpaka umalize kuvuta Bangi huko gheto kwa Le mutuz,Sawa Minyoo!
Kuna.siri.kubwa sana.kwenye huu ugonjwa,kuna watu.mnajiamini.sanaHujalazimishwa wewe na kimbelembele chako ndiyo itakuwa mauti yako na tutajitokeza kukusindikiza makaburini
In God we Trust
Corona ni hatari kuliko chochote hata hizo Bangi unazovuta ni Hatari zaidi acha ufala rejea kwenye hoja CCM mmeamua kuachia corona isambae mpate kisingizio cha kufuta uchaguzi na kuzuia mikutano ya chadema mwezi ujaoWewe umebambikiziwa lini Minyoo?
DPP na yeye aombewe aacha kuwabambikia wapinzani kesi
Knock...Knock....'Any body home??????'Nyinyi uchaguzi hamuwezi shinda watz walishawakataa siku nyingi sanasana mtakimbia kwa kisingizio cha kitoto cha Tume Huru.
JF ndiyo chombo pekee huru chenye uwezo wa kumkosoa yeyote Duniani
Sawa Minyoo!Corona ni hatari kuliko chochote hata hizo Bangi unazovuta ni Hatari zaidi acha ufala rejea kwenye hoja CCM mmeamua kuachia corona isambae mpate kisingizio cha kufuta uchaguzi na kuzuia mikutano ya chadema mwezi ujao