kwanini iwe Jaffo na Makonda?Ninajua waziri wa Tamisemi mh Jaffo na RC Makonda mnapita sana humu Jf.
Naomba mnipatie jibu la sawali langu kuhusu msongamano wa abiria ndani ya mabasi ya mwendokasi wakati huu wa Corona, Mnafeli wapi?
Ni hilo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Jaffo na Makonda ndio huwa mstari wa mbele katika kusimamia utendaji " bora" wa hayo mabasi!kwanini iwe Jaffo na Makonda?
Wanaowajibika na hayo mabasi ni akina nani?
Wewe ni msemaji wa watanzaniaNyinyi uchaguzi hamuwezi shinda watz walishawakataa siku nyingi sanasana mtakimbia kwa kisingizio cha kitoto cha Tume Huru.
NdiyoWewe ni msemaji wa watanzania
Imewekwa mkuu
Kishabeba kila kitu?AMRI YA KUFUNGA MASOKO HAITAWEZEKANA WATAKUFA NJAA LABDA WATU WAPUNGUE WENGINE WAKAUZIANE KULE NYUMA YA IKULU IKIWEZEKANA HATA NDANI IKULU ,MKUU AMEHAMIA DODOMA TAYARI
Mungu ni mwema sana ! Akili ishakurudia?Dawa ni tuwape nchi Chadema tu au vipi kamanda?!
Kamanda kumbe hata akili za kusoma katikati ya mistari huna!Mungu ni mwema sana ! Akili ishakurudia ?