FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
kwanini iwe Jaffo na Makonda?Ninajua waziri wa Tamisemi mh Jaffo na RC Makonda mnapita sana humu Jf.
Naomba mnipatie jibu la sawali langu kuhusu msongamano wa abiria ndani ya mabasi ya mwendokasi wakati huu wa Corona, Mnafeli wapi?
Ni hilo tu.
Maendeleo hayana vyama!
Wanaowajibika na hayo mabasi ni akina nani?