Mkuu, kigogo Warioba,viongozi wa dini ni wabishi sana, mf gwajima hata ukimpelekea jwtz bado atatoka tu kwenda kanisani, serikali ina kazi kubwa!
Bila Shaka zipo hatua zilizochukuliaa, nilimskia Shekhe mkuu, alizuwia Madrasa na Baadhi ya makanisa ukiingia utakuta hata mpangilio wa viti vyao vinakaa mbali mbali haswa,Kwani Viongozi wetu .wanasubiri mpaka serikali isitishe hawawezu kujiongeza.tu
DuuhC &P
"TBC1 tuliwaonya kukusanyika siku ya msiba wa Marini Hassan hamkusikia! Haya leo Joseph Kambangwa mfanyakazi wenu kafa kwa corona na maziko ni kesho saa 4 huko huko Mloganzila!
**Gloria Maiko(anatangazaga habari za biashara) yuko hoi ana dalili zote za corona!
RIP Kambangwa"
"Huyu mama Gloria Michael mpaka jana alikuwa kazini na leo kawa tested positive na corona! Lakini Hawajiulizi kaambukiza watu wangapi kazini ,nyumbani etc.Guys we have a serious problem than we think. Egbert Mkoko lecturer UDSM +ve na wiki hii alikuwa kazini kaambukiza wangapi?"
Sokoni hamwendi?Hatari ya kusambaa zaidi mkoa wa dar unaweza kuongezeka kama serikali ya Tanzania itashindwa kudhibiti mikusanyiko ya ibada zinazoongozwa na Aki Gwajima, kakobe, mwamposa. mikusanyiko hiyo ni kinyume na ushauri wa kitaalamu.
mkuu hujasikia kua haka ni kaugonjwa kadogo?Leo Waziri ametangaza ongezeko la watu Walioambukwizwa corona lakini .jana watu wamejazana makanisani wakiambikizana. shule na vyuo vimefungwa lakini misikiti na makanisa imebaki ikiendeleza kusambaza.
Hatuwezi kufunga hadi muambikizane kiasi cha kutoshaLeo Waziri ametangaza ongezeko la watu Walioambukwizwa corona lakini .jana watu wamejazana makanisani wakiambikizana. shule na vyuo vimefungwa lakini misikiti na makanisa imebaki ikiendeleza kusambaza.