ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
C &P
"TBC1 tuliwaonya kukusanyika siku ya msiba wa Marini Hassan hamkusikia! Haya leo Joseph Kambangwa mfanyakazi wenu kafa kwa corona na maziko ni kesho saa 4 huko huko Mloganzila!
**Gloria Maiko(anatangazaga habari za biashara) yuko hoi ana dalili zote za corona!
RIP Kambangwa"
"Huyu mama Gloria Michael mpaka jana alikuwa kazini na leo kawa tested positive na corona! Lakini Hawajiulizi kaambukiza watu wangapi kazini ,nyumbani etc.Guys we have a serious problem than we think. Egbert Mkoko lecturer UDSM +ve na wiki hii alikuwa kazini kaambukiza wangapi?"
"TBC1 tuliwaonya kukusanyika siku ya msiba wa Marini Hassan hamkusikia! Haya leo Joseph Kambangwa mfanyakazi wenu kafa kwa corona na maziko ni kesho saa 4 huko huko Mloganzila!
**Gloria Maiko(anatangazaga habari za biashara) yuko hoi ana dalili zote za corona!
RIP Kambangwa"
"Huyu mama Gloria Michael mpaka jana alikuwa kazini na leo kawa tested positive na corona! Lakini Hawajiulizi kaambukiza watu wangapi kazini ,nyumbani etc.Guys we have a serious problem than we think. Egbert Mkoko lecturer UDSM +ve na wiki hii alikuwa kazini kaambukiza wangapi?"