Vita dhidi ya Corona: Mikusanyiko ya watu isiyo lazima isitishwe, misongamano idhibitiwe ili kuepusha madhara makubwa zaidi

Nisizunguke sana.

Stieglers gorge ina wafanyakazi wasiopungua 3,000 mpaka sasa na kuna mchanganyiko wa wageni wengi toka china na Misri.

Na huwa wanachukua likizo baada ya miezi mitatu wanaenda makwao na kurudi kwa sababu viza zao ni za miezi mitatu mitatu. Nina mashaka wanaweza kuwa wamerudi na virusi.

Tukumbuke wafanyakazi wa huu mradi wapo wanaolala site na wengine wanaingia na kutoka kila siku.

Kwa SGR vivyo hivyo inaje gwa na wageni na muingiliano na mkusanyiko wa raia ni mkubwa pia.
 
Muda umefika kwa serikali kusitisha makundi ya maombezi kama ilivyositisha makundi mengine, makundi haya huambatana na watu kuanguka na kugalagala chini vinginevyo hao manabii na mitume watakusanya watu ili kuwaponya na kuwakinga na Corona.
 
Kwa tulipofika sasa, adui yetu Mkubwa si COVID-19 bali hofu. Watu wameingiwa na hofu kubwa, kila kitu kimesimama. Watu wamevaa Masks mpka kwenye Private cars Tena wakiwa peke yao.

Lakin kwa mujibu wa Taratibu na ushauri Toka WHO, Masks zinatakiwa kuvaliwa endapo unazungumza na mtu mwenye kikohozi. Wengine tuendelee kunawa mikono kwa maji safi na sabuni. Pia, tukumbushe kufuta surfaces zote kwa kutumia Alcohol based Sanitisers.

Uingiapo ofisini, safisha vitasa, mipango, meza, computer and everything utakachokigusa vifute kwa Sanitersa au Deltol. Otherwise, let's be cool and calm, this too shall pass.
 
Vitu vingine ni vya kufikirika japokua vingine sijui ulikua serious ama?
 
Yaani mt
Vitu vingine ni vya kufikirika japokua vingine sijui ulikua serious ama?
mtanzania bwana ni mtu mmoja wa propaganda sana, kipindi kile aliwaponda sana ndugu zetu waliopo China muda wote ni utani utani tu, lakini kama ndugu zetu waliopo China Bado wana survive basi huu ndio muda wakuwauliza wao wana survive vipi huko walipo.
 

Mimi wananiudhi, walikataa wanafunzi wetu walioko China wasirudi Tanzania kuogopa Corona ila wanaachia watu kutoka nje freely....it doesn't make sense..
 
Umesahau na mashehe wanaokusanya watu ili kuwapatia utajiri na Mambo mengine, hao vipi hawahitaji kukemewa?
 
Acha kutisha watu,
mtanzania bwana ni mtu mmoja wa propaganda sana, kipindi kile aliwaponda sana ndugu zetu waliopo China muda wote ni utani utani tu, lakini kama ndugu zetu waliopo China Bado wana survive basi huu ndio muda wakuwauliza wao wana survive vipi huko walipo.
 
................Hiyo #3 hiyo aisee,kwa kweli ni hatari kubwa.

Kwa mtu aliyeshawahi kupanda hili dubwasha la kuitwa Mwendokasi ataelewa kilichoandikwa hapa maana mule ni watu wanajaa kuvujiana mijasho kupumuliana alimradi vurugu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Tuwaze kabla ya kutoa maoni. Corona sio mwisho wa kila kitu hivyo shughuli za kiuchumi lazima ziendelee lakini tutafute namna ya kudhibiti maambukizi. Sijui umewaza Nini kushauri Serikali isitishe mradi mkubwa Kama SGR kisa tu Kuna wachina na waarabu? Kwani Corona ipo kwa wachina na waarabu pekee?
 
Kama umemsikia vizuri: huyo dada akiwa anajua ana virusi vya corona alitembelea Uingereza, Uswizi na Ubelgiji huko ulaya. Kote huko ulaya alikopita hawakuweza kumgundua. Kuna uwezekano akiwa huko Ubelgiji alimtembelea kamanda wetu wa huko na kumpa mkono na kumu hug. Mungu apishe mbali kama tetesi hizi ni za kweli.

Alipofika kwao Tanzania kwa usafiri wa Rwanda Air na sisi hatukuweza kumgundua kwa scanner za pima joto kwani hakuwa na homa. Tetesi zinasema alikuwa akutane na kiongozi mmoja ampe salamu na ujumbe maalum kutoka kwa kamanda wa Ubelgiji. Lakini uzalendo ulimuijia na kuamuru kwenda kujisalimisha hospitali ya Mt Meru. Madaktari wetu hawakuamini kama kweli dada huyo ni muathirika wa gonjwa hilo la corona maana alionekana mzima wa afya tele. Dada akawaomba wamufanyie vipimo kama hawaamini. Vipimo vikachukuliwa na kupelekwa DSM. Majibu yakawa positive na hapo ndipo tukazinduka.

Hivi virusi wakati mwingine vinasambazwa kwa makusudi na watu au tasisi au mataifa kwenda kuangamiza wabaya wao wa mbali nk. Wanatumiwa vijana kama dada huyu kama walivyokuwa wanatumika kusambaza madawa ya kulevya. Corona ni silaha ya kibaiologia (biological weapon) ambayo ni ya kimaangamizi ile mbaya. Jiulize ilikuwaje silaha hizi baada China zilienda kuishambulia sana Iran na Italy? Vita hizi za kibiolojia ni ngumu sana kuzipigana.
 
Mi Niltegemea Ndo Wakati Wa Wale Wanaojifanya Wabobezi Wa Maombezi Kutamalaki Hata Kwa Kumtembelea Mgonjwa Kumpiga Pawa Huko.
 
tuombe mungu hali iwe nzuri ya huu ugonjwa,ikiendelea uchaguzi utapelekwa mbele na jamaa atafurahi mana anakipenda kiti kuliko kawaida
 
Unawaza pumba mkuu,
 
Serikali ikiwasikiliza baadhi watoa pumba kama hizi, tutajikuta tunarudi nyuma,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…